Ibada ya kwanza
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 3,282
- 1,806
Ya viwandaNchi gani hii?
Ya viwandaNchi gani hii?
Afu usubir ataezuaje hiyo batiNo x
Hata mimi hili ndilo wazo ninalolipa kipaumbele, kwa hali ya kawaida ni ngumu mtu kujenga eneo kama hiloInawezekana hiyo nguzo imemkuta jamani, tusimpe kama ga kiasi hicho wkt mtu ameplani hata kujenga nyumba, tena ya tofali imara, umeme umemkuta tu hapo.
Hapana, lazima uyajue maisha ya wote ndo ujaji. Kama hujawahi kuyaishi maisha fulani hutoweza kuyajaji vyema hakika. Utajaji kwa kile tu ukijuacho.Hata mimi hili ndilo wazo ninalolipa kipaumbele, kwa hali ya kawaida ni ngumu mtu kujenga eneo kama hilo
Duh! Nimekuelewa. Nilikuwa sijakuelewa.Hata mimi hili ndilo wazo ninalolipa kipaumbele, kwa hali ya kawaida ni ngumu mtu kujenga eneo kama hilo