Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,633
- 697,791
Katika hali ya kushangaza mno, Musiba kaibuka na video ya vitisho na kejeli kwa wale walioenda kumpokea Lissu.
Si nia yangu kuongeza post za huyu mtu, lakini huu ni mtazamo tofauti hasa kwenye nyanja nzima ya tafakuri kwenye matumizi ya vinywa vyetu na kalamu zetu
Tukumbuke maandishi hayafutiki na neno ni kama risasi, likitoka halirudi. Ni chini ya mwaka mmoja Musiba alitoa tuhuma na shutuma za wazi zilizojaa kejeli na dharau kwa marais wastaafu na wake zao, akimtoa mwalimu Nyerere kwamba walikuwa wezi wakubwa
Clip ile ilipelekea malalamiko rasmi chamani lakini hakufanywa kitu, aliachwa aendelee tu kumtuhumu na kumdhihaki kila aliyeona inafaa kufanya hivyo kwa maslahi anayojua mwenyewe.
Leo hii mmoja wa watuhumiwa wake, Mzee Mkapa, kafariki. Tayari keshasahau yote na amejibeba mzima mzima kwenda kwa mama Mkapa.
Sikiliza video hii kisha tazama na hiyo picha hapo chini.
Ni wazi Musiba kama hana msongo mkubwa wa mawazo basi ni mgonjwa wa akili anayehitaji matibabu ya haraka, maana si kwa unafiki ule aliouonesha kwenye kifo cha mzee Mkapa.
Kuna swali muhimu ambalo watu wanajiuliza lakini hawajapata jibu mpaka leo:
NI NANI YUKO NYUMA YA CYPRIAN MUSIBA?
Si nia yangu kuongeza post za huyu mtu, lakini huu ni mtazamo tofauti hasa kwenye nyanja nzima ya tafakuri kwenye matumizi ya vinywa vyetu na kalamu zetu
Tukumbuke maandishi hayafutiki na neno ni kama risasi, likitoka halirudi. Ni chini ya mwaka mmoja Musiba alitoa tuhuma na shutuma za wazi zilizojaa kejeli na dharau kwa marais wastaafu na wake zao, akimtoa mwalimu Nyerere kwamba walikuwa wezi wakubwa
Clip ile ilipelekea malalamiko rasmi chamani lakini hakufanywa kitu, aliachwa aendelee tu kumtuhumu na kumdhihaki kila aliyeona inafaa kufanya hivyo kwa maslahi anayojua mwenyewe.
Leo hii mmoja wa watuhumiwa wake, Mzee Mkapa, kafariki. Tayari keshasahau yote na amejibeba mzima mzima kwenda kwa mama Mkapa.
Sikiliza video hii kisha tazama na hiyo picha hapo chini.
Ni wazi Musiba kama hana msongo mkubwa wa mawazo basi ni mgonjwa wa akili anayehitaji matibabu ya haraka, maana si kwa unafiki ule aliouonesha kwenye kifo cha mzee Mkapa.
Kuna swali muhimu ambalo watu wanajiuliza lakini hawajapata jibu mpaka leo:
NI NANI YUKO NYUMA YA CYPRIAN MUSIBA?