Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 239
Nadhani 'Meya" Gaudence Lyimo anatambua kwamba yote haya yanatokana na yeye kuwa 'Meya' kwa njia ambazo hazikuwa za halali na kendelea kung'ang'ani wadhifa huo. Sijui ni Wanarusha wangapi wamesha poteza maisha kutokana na 'umeya' wake na nashangaa iwapo atakuwa ana peace of mind hasa akijua yote hayo yanatokana na yeye.
Na sidhani iwapo viongozi wakuu wa CCM akiwemo JK anaweza kumwambia ili kuepusha damu zaidi kumwagika "tafadhali achilia ngazi -- nitakutafutia mlo mahali pengine."
INASIKITISHA SANA!
Na sidhani iwapo viongozi wakuu wa CCM akiwemo JK anaweza kumwambia ili kuepusha damu zaidi kumwagika "tafadhali achilia ngazi -- nitakutafutia mlo mahali pengine."
INASIKITISHA SANA!