Execute
JF-Expert Member
- Sep 21, 2022
- 3,000
- 7,284
Wachezaji ambao nisingewaita ni kama Neymar, Paqueta, Richarlison, Fred, Raphinha na Anthony. World cup sio kwa ajili ya mabishoo na wavivu.
Ningembadilisha Martinelli ili acheze winga ya kulia, kushoto angekaa Vinicious halafu namba tisa angesimama Firmino huku namba kumi ningempa Gabriel Jesus.
Kiungo angekaa Casemiro pamoja na Guimares na ukuta ungekuwa na Silva, Marquinhos, Militao na Sandro huku golini akiwepo Alisson.
Kwenye akiba ningekuwa na Ederson, Weverton, Bremer, Danilo, Telles, Fabinho, Rodrygo, Dani Alves na ningeongeza vijana kadhaa wa kule ligi ya Brazil.
Ningecheza 4-3-3 na kubeba kombe asubuhi na mapema.
Ningembadilisha Martinelli ili acheze winga ya kulia, kushoto angekaa Vinicious halafu namba tisa angesimama Firmino huku namba kumi ningempa Gabriel Jesus.
Kiungo angekaa Casemiro pamoja na Guimares na ukuta ungekuwa na Silva, Marquinhos, Militao na Sandro huku golini akiwepo Alisson.
Kwenye akiba ningekuwa na Ederson, Weverton, Bremer, Danilo, Telles, Fabinho, Rodrygo, Dani Alves na ningeongeza vijana kadhaa wa kule ligi ya Brazil.
Ningecheza 4-3-3 na kubeba kombe asubuhi na mapema.