Kashtaki kwa JiweHili la kuwafukuza TBC sijali penda
Ni kukosa ustaarabu
TBC ni mali ya watanzania inalazimika kuwahudumia watanzania wakati inapohitajika na si kuvuruga mkutano ya vyama.Hii hali inayojitokeza shughuli ya Mbagala kama ningekuwa katibu mkuu ambaye in mwajiri wa Makene ningemfukuza kazi kwa kutowajibika.
Hivi kwa nini Chadema media wameshindwa kuwa Live siku muhimu kama Leo?
Mkuu ,they might have been killed.Ni vema wakakwenda zao.HahahahahaaaHili la kuwafukuza TBC sijali penda
Ni kukosa ustaarabu
CCM na wapinzani wa nchi hii Wote Mnazinguaa sana.
Ngoja nikae na imani Yangu..na Mipango Yangu.
Hili Taifa litakombolewa Toka kwa Madhalimu CCM na kizazi Chetu Cha 90's...Hapo Baadaye
Siwalisema ukipigwa Kofi shavu moja wewe piga hotel mawili, tbc msiwaonyeshe mwanzo mwisho mbwai na iwe mbwai, isitoshe hawawalipi mshahara Bora mumwonyeshe Hashim rungweHili la kuwafukuza TBC sijali penda
Ni kukosa ustaarabu
Mmmh hapo kusema ukweli wamekosea na wamefanya maamuzi ya bila kutafakari kama nikweliHili la kuwafukuza TBC sijali penda
Ni kukosa ustaarabu
Unaachaje kukatisha wakati watu wanaropoka upuuzi? Badala wamwage sera wana attack watu binafsi.Unajua madhara waliyokuwa wanayafanya katika kukatisha ujumbe na kuweka wakwao?
Mkutano wa Chadema sio mpira wa miguu unao mtaka mwl Kashasha
Walau Ungeuliza hata Haya,Ningekuona Mtu Makini:-Kizazi cha 90 na hadi hii leo UMEBWETEKA!!!?
Labda Kuna sababu mkuu usihukumu kablaHii hali inayojitokeza shughuli ya Mbagala, kama ningekuwa katibu mkuu ambaye ni mwajiri wa Makene ningemfukuza kazi kwa kutowajibika.
Hivi kwa nini Chadema media wameshindwa kuwa Live siku muhimu kama leo?
Asante kaka.. "Hata mimi naungana na ww aisee"CCM na wapinzani wa nchi hii Wote Mnazinguaa sana.
Ngoja nikae na imani Yangu..na Mipango Yangu.
Hili Taifa litakombolewa Toka kwa Madhalimu CCM na kizazi Chetu Cha 90's...Hapo Baadaye
Hii hali inayojitokeza shughuli ya Mbagala, kama ningekuwa katibu mkuu ambaye ni mwajiri wa Makene ningemfukuza kazi kwa kutowajibika.
Hivi kwa nini Chadema media wameshindwa kuwa Live siku muhimu kama leo?