shukuru bon
Member
- Oct 2, 2011
- 15
- 1
1)Ange muuliza,mh Rais,una kili kwamba uchaguzi uliopita ulichakaluliwa na tume ya uchaguzi?na kama ulichakachuliwa mbona
ina sadikika hata hao ulio wateuwa wana ma skendo kibao?
2}Je kwanini aliusaini muswada wa uandaaji katiba mpya?ili hali wadau wengi bado walikuwa na duku duku juu ya hili?
ana wahakikishia nini wananchi.NAWAKILISHA
ina sadikika hata hao ulio wateuwa wana ma skendo kibao?
2}Je kwanini aliusaini muswada wa uandaaji katiba mpya?ili hali wadau wengi bado walikuwa na duku duku juu ya hili?
ana wahakikishia nini wananchi.NAWAKILISHA