Requal
JF-Expert Member
- Jun 5, 2020
- 1,025
- 1,905
Huyu bwana kipindi akiwa mkuu wa wilaya ya hai, Nasikia amefanya ubaya uliokithirika.
Ameteka watu akawakata masikio, Akawakata mikono akaona haitoshi akawaingizia chupa kwenye haja kubwa.
Bwana Sabaya amelawiti mabinti kwa nguvu, amedhalilisha wanawake na mabinti wengi kingono, amenyang'anya mali za watu kwa mtutu wa bunduki.
Huyu bwana alikuwa akienda hoteli kulala na kupatiwa huduma yoyote halipi na hakutaka kudaiwa.
Ameua biashara za watu wengi kwa kutumia cheo chake.
Ningekuwa na mamlaka huyu bwana nisingempeleka mahakamani, ningempeleka Hai niwaachie wananchi waamue.
Ameteka watu akawakata masikio, Akawakata mikono akaona haitoshi akawaingizia chupa kwenye haja kubwa.
Bwana Sabaya amelawiti mabinti kwa nguvu, amedhalilisha wanawake na mabinti wengi kingono, amenyang'anya mali za watu kwa mtutu wa bunduki.
Huyu bwana alikuwa akienda hoteli kulala na kupatiwa huduma yoyote halipi na hakutaka kudaiwa.
Ameua biashara za watu wengi kwa kutumia cheo chake.
Ningekuwa na mamlaka huyu bwana nisingempeleka mahakamani, ningempeleka Hai niwaachie wananchi waamue.