Ninayo hakika Lissu atarejea si kama Lissu aliyezoeleka

mpiganaji wa haki na wa kweli haongei hata kidogo.....utasikia kwenye habari tu (kama somalia 300 wamekufa , sio kelele mitandaoni stop being a coward..unajiliwaza na maandishi na kujipa moyo...
 
mpiganaji wa haki na wa kweli haongei hata kidogo.....utasikia kwenye habari tu (kama somalia 300 wamekufa , sio kelele mitandaoni stop being a coward..unajiliwaza na maandishi na kujipa moyo...
Hey hey, there boss! Mwanzo wa ngoma ni lele. Stick unto that, fella!
 
Hakika kwa dhoruba iliyompata ndg huyu si rahisi tena kurejelea ktk umwamba wake wa uongeaji bila kujali ulikuwa wa kweli au ilikuwa ni blabla tu!

Ni suala la mda lkn unabii wangu utatimia.

Kwa mnaotarajia ndg huyu atarejea kwa nguvu kubwa-mnajidanganya!Dhoruba ile haikuwa ya mchezo!Ni Mungu pekee ameweza kumwokoa na si vinginevyo.
Yaani kitu kimoja ambacho unatakiwa kutambua ni kwamba sasa hivi Tundu Lissu ana authority zaidi, anayo "AURA" kubwa zaidi, kabla hata hajaongea chochote. Sasa hivi Tundu Lissu ni wa hatari zaidi. hivi unakumbuka kwa nini Marekani waliamua kumzika Osama Bin Laden baharini? waliogopa kwamba hilo kaburi lake lingekuwa na nguvu mno kuliko hata alivyokuwa hai.
 
Yaani kitu kimoja ambacho unatakiwa kutambua ni kwamba sasa hivi Tundu Lissu ana authority zaidi, anayo "AURA" kubwa zaidi, kabla hata hajaongea chochote. Sasa hivi Tundu Lissu ni wa hatari zaidi. hivi unakumbuka kwa nini Marekani waliamua kumzika Osama Bin Laden baharini? waliogopa kwamba hilo kaburi lake lingekuwa na nguvu mno kuliko hata alivyokuwa hai.


YETU macho na masikio ngoja tuone na kusikia .....mdomo sio mzuri unapoza mwili... na tumbo upoza tako jela
 
alexelias, naomba nikupe ushauri kidogo...sijui ni lini ulimfahamu Mh. Tundu Lissu na sina hakika kama umechukua muda angalau kiduchu tu kusoma historia yake na kumuelewa anachoamini, anachosimamia, anachotetea na anachopigania. Wakati anahangaika juani Rais wa sasa alikuwa anakula kivulini.

Mh. Tundu Lissu hakusubiri amalize shule, hakusubiri aajiriwe, hakusubiri awe Mbunge na hakusubiri awe Rais ili aanze kupigania haki na utawala unaoheshimu sheria, hapana, Mh. Lissu ni tofauti kabisa na viongozi malimbukeni wanaoota kama uyoga na kujikuta wanasukumiziwa madaraka yanayowazidi uwezo.

Mh. Tundu Lissu anayo historia ambayo inawapa hofu viongozi wasio na sifa, busara wala hekima. Hali hii inawavua nguo hao madikteta uchwara kiasi wako tayari kumtoa roho Mh. Tundu Lissu kwa sababu kwenye jamii ya wapofu, mwenye chongo ni mfalme. Kwenye jamii hiyo mwenye macho ni adui.

Hujui misukosuko aliyopitia Mh Tundu Antiphas Lissu katika kuwapigania wanyonge wa nchi hii kwa muda wa miaka zaidi ya ishirini huku Magufuli akila, kunywa na kushirikiana na watawala anaodai leo waliipindisha nchi. Mh. Tundu Lissu hawezi kunyamaza labda anyamazishwe kama walivyopanga hao mashetani.

Lakini Mungu mkubwa...iko siku haki itatendeka.
Lakini mleta mada anasema yote hayo unayoyasema wewe, ni kwamba Lissu akirudi hatakuwa na hayo tena! - Kaandika hivi "Hakika kwa dhoruba iliyompata ndg huyu si rahisi tena kurejelea ktk umwamba wake wa uongeaji ............"
 
Nawashangaa hawa manabii feki, kwani mnataka kutuambia mnafahamu chanzo cha Lissu kujeruhiwa?

Kumbe mnawafahamu hata waliyomjeruhi, mbona sasa hamtoi ushirikiano kwa vyombo vya upelelezi?

Alternatively, tunaamini nyie ndio wale wasiyojulikana, mlimjeruhi ili mmunyamazishe, lakini kwa mtu wa aina yake hatabadilika, sidhani.
 
Hakika kwa dhoruba iliyompata ndg huyu si rahisi tena kurejelea ktk umwamba wake wa uongeaji bila kujali ulikuwa wa kweli au ilikuwa ni blabla tu!

Ni suala la mda lkn unabii wangu utatimia.

Kwa mnaotarajia ndg huyu atarejea kwa nguvu kubwa-mnajidanganya!Dhoruba ile haikuwa ya mchezo!Ni Mungu pekee ameweza kumwokoa na si vinginevyo.
Subirini arudi mnadhani Lisu ni Roma Mkatoliki au DDr. Ulimboka.
 
kama ilivyokuwa rahisi ku survive, ikawa rahisi kupona na itakuwa rahisi kurudi uraiani akiwa kama zamani
najua majirani mmeshtushwa sana, na mtaendelea kushtushwa sana
 
Lissu ndie Rais atakayeliokoa hili Taifa toka kwa wanafiki na watu wenye roho chafu /mbaya, ndiye aliyetabiriwa.

Mngejiuliza kwa tukio kama lile lililompata kwanini anapumua mpaka sasa..!? Lisilowezekana kwa mwanadamu kwa Mungu linawezekana.

Muda ndio mwamuzi
Unataka kusema hata majambazi waliokoswakoswa risasi nao wametarajiwa kuokoa taifa? Huyu atakubalitu kutulia
 
Huu uzi hauna fact za kisayansi ila ni speculation ambazo hazina ushahidi wowote..
 
Hakika kwa dhoruba iliyompata ndg huyu si rahisi tena kurejelea ktk umwamba wake wa uongeaji bila kujali ulikuwa wa kweli au ilikuwa ni blabla tu!

Ni suala la mda lkn unabii wangu utatimia.

Kwa mnaotarajia ndg huyu atarejea kwa nguvu kubwa-mnajidanganya!Dhoruba ile haikuwa ya mchezo!Ni Mungu pekee ameweza kumwokoa na si vinginevyo.
28d512af2661a5fc8c7bf9342d57affb.jpg
 
Hakika kwa dhoruba iliyompata ndg huyu si rahisi tena kurejelea ktk umwamba wake wa uongeaji bila kujali ulikuwa wa kweli au ilikuwa ni blabla tu!

Ni suala la mda lkn unabii wangu utatimia.

Kwa mnaotarajia ndg huyu atarejea kwa nguvu kubwa-mnajidanganya!Dhoruba ile haikuwa ya mchezo!Ni Mungu pekee ameweza kumwokoa na si vinginevyo.
Bado mtaendelea kuaibika ..
Nakudhibitishia TLS atarudi na nguvu kubwa kuliko na ataleta mageuzi katila nchi hii..
Mistake kubwa Ccm iliyofanya ni kweli hili tukio..
Tukio hili litawatafuna Ccm vile hamjawai kuona maana mpaka apa TLS alipo ni Mungu anawaomyesha yeye ni Zaidi ya nyinyi na roho zenu mbaya kushinda hata ubaya wenyewe...
 
Back
Top Bottom