Ninayo hakika Lissu atarejea si kama Lissu aliyezoeleka

Hakika kwa dhoruba iliyompata ndg huyu si rahisi tena kurejelea ktk umwamba wake wa uongeaji bila kujali ulikuwa wa kweli au ilikuwa ni blabla tu!

Ni suala la mda lkn unabii wangu utatimia.

Kwa mnaotarajia ndg huyu atarejea kwa nguvu kubwa-mnajidanganya!Dhoruba ile haikuwa ya mchezo!Ni Mungu pekee ameweza kumwokoa na si vinginevyo.
Humjui Lisu wewe
 
Hakika kwa dhoruba iliyompata ndg huyu si rahisi tena kurejelea ktk umwamba wake wa uongeaji bila kujali ulikuwa wa kweli au ilikuwa ni blabla tu!

Ni suala la mda lkn unabii wangu utatimia.

Kwa mnaotarajia ndg huyu atarejea kwa nguvu kubwa-mnajidanganya!Dhoruba ile haikuwa ya mchezo!Ni Mungu pekee ameweza kumwokoa na si vinginevyo.
alexelias, naomba nikupe ushauri kidogo...sijui ni lini ulimfahamu Mh. Tundu Lissu na sina hakika kama umechukua muda angalau kiduchu tu kusoma historia yake na kumuelewa anachoamini, anachosimamia, anachotetea na anachopigania. Wakati anahangaika juani Rais wa sasa alikuwa anakula kivulini.

Mh. Tundu Lissu hakusubiri amalize shule, hakusubiri aajiriwe, hakusubiri awe Mbunge na hakusubiri awe Rais ili aanze kupigania haki na utawala unaoheshimu sheria, hapana, Mh. Lissu ni tofauti kabisa na viongozi malimbukeni wanaoota kama uyoga na kujikuta wanasukumiziwa madaraka yanayowazidi uwezo.

Mh. Tundu Lissu anayo historia ambayo inawapa hofu viongozi wasio na sifa, busara wala hekima. Hali hii inawavua nguo hao madikteta uchwara kiasi wako tayari kumtoa roho Mh. Tundu Lissu kwa sababu kwenye jamii ya wapofu, mwenye chongo ni mfalme. Kwenye jamii hiyo mwenye macho ni adui.

Hujui misukosuko aliyopitia Mh Tundu Antiphas Lissu katika kuwapigania wanyonge wa nchi hii kwa muda wa miaka zaidi ya ishirini huku Magufuli akila, kunywa na kushirikiana na watawala anaodai leo waliipindisha nchi. Mh. Tundu Lissu hawezi kunyamaza labda anyamazishwe kama walivyopanga hao mashetani.

Lakini Mungu mkubwa...iko siku haki itatendeka.
 
Hakika kwa dhoruba iliyompata ndg huyu si rahisi tena kurejelea ktk umwamba wake wa uongeaji bila kujali ulikuwa wa kweli au ilikuwa ni blabla tu!

Ni suala la mda lkn unabii wangu utatimia.

Kwa mnaotarajia ndg huyu atarejea kwa nguvu kubwa-mnajidanganya!Dhoruba ile haikuwa ya mchezo!Ni Mungu pekee ameweza kumwokoa na si vinginevyo.
Acha kujidanganya wewe, Lissu ni anaother bread,sio ng`ombe wanaokimbilia simba baada ya mwokozi kutokea .Hao ni wengine Lissue atakuwa furous km kawaida na zaidi.Nadhani umesahau kubenea sio wale wengine.
 
Hakika kwa dhoruba iliyompata ndg huyu si rahisi tena kurejelea ktk umwamba wake wa uongeaji bila kujali ulikuwa wa kweli au ilikuwa ni blabla tu!

Ni suala la mda lkn unabii wangu utatimia.

Kwa mnaotarajia ndg huyu atarejea kwa nguvu kubwa-mnajidanganya!Dhoruba ile haikuwa ya mchezo!Ni Mungu pekee ameweza kumwokoa na si vinginevyo.

Kwa hiyo una maanisha Lisu alimiminiwa risasi kwa sababu ya umwamba wake wa kuongea. Bila shaka utakuwa unajua ni akina nani wanaokerwa na umwamba wa Lisu katika kuongea. Hapa kama Afande IGP Sirro atakuwa amekusoma bila shaka atahitaji msaada wako
 
Ulikaa naye akakwambia? Au umeanza uganga unataka kufanya utapeli? Kwa nini umuwekee maneno kwenye ulimi?
Kina mipumbavu km nyinyi sijui hata mlijiungaje jukwaani
Jadili hoja acha ushabiki mandazi pumbavu mod pimeni akili mburula nyumbz wengine hapa.
 
Lissu si mwoga kama wewe, akirudi atarudi mkali kuliko zamani
Ndugu muonee huruma mh. Na familia yake. Ushawahi msaidia kwa lolote juu ya kadhia zote alizowahi zpata kabla hata ya tukio lile? Kwa jinsi tulivyo Wa Tz basi ni heri tuungane kumwombea apone vema na anyamaze tu.
 
Kwel watu wanaogopa sana kufa hakuna anaetaka kuendeleza kazi ya lisu nan auawe? Binadam bana,wansubiria lisu arudi aje aendeleze libeneke hata kama atakua kilema watu hawajali.du,
 
Lissu kawajambisha mno mmeanza kumuogopa hata kabla hajarudi nchini.Acheni roho mbaya.
 
Hakika kwa dhoruba iliyompata ndg huyu si rahisi tena kurejelea ktk umwamba wake wa uongeaji bila kujali ulikuwa wa kweli au ilikuwa ni blabla tu!

Ni suala la mda lkn unabii wangu utatimia.

Kwa mnaotarajia ndg huyu atarejea kwa nguvu kubwa-mnajidanganya!Dhoruba ile haikuwa ya mchezo!Ni Mungu pekee ameweza kumwokoa na si vinginevyo.
Umejigeuza mungu siyo ?
 
Lissu ndie Rais atakayeliokoa hili Taifa toka kwa wanafiki na watu wenye roho chafu /mbaya, ndiye aliyetabiriwa.

Mngejiuliza kwa tukio kama lile lililompata kwanini anapumua mpaka sasa..!? Lisilowezekana kwa mwanadamu kwa Mungu linawezekana.

Muda ndio mwamuzi
huwezi kushindana na sirikali
 
Unabii wa ramli.Mungu pekee ndie muweza wa yote.Nani alijua angepona?.Nani kakuambia kua ameshambuliwa mdomoni.kwani miguu ndio inaongea?
 
sio kwa masikini
kuna watu wenyemsimamo na wapenda dini yao kama waislam.....kumbuka mwembechai wangapi walikufa maandamano nchi zima nini kilifanyika?......kimya..kula ugali kalale wacha uwongo ...... unabishana na ukweli
 
Back
Top Bottom