Ninawi: Mji maarufu zaidi na mkongwe miaka ya Yona

rosemarie

JF-Expert Member
Mar 22, 2011
6,887
3,412
Ninawi ni mji mkongwe na uliokuwa maarufu zaidi miaka ya Yona, mji huu unapatikana katika nchi ya Syria karibu kabisa na mji unaoitwa Mosul uliopo Iraq.

Ninawi ulikuwa mji muhimu sana kwa sababu barabara ya kuelekea miji ya kusini na kaskazini ilikuwa inapita katikati ya ninawi.

Vile vile kuna mto mkubwa unaitwa khawser unapita katikati ya ninawi na ulisaidia sana kukuwa haraka kwa mji kwa sababu ya kilimo kilichotegemea sana mto huu

Watu wa kwanza kuishi ninawi walikuwa wakiitwa Neolithic na walikuwa wakulima

Kwanini Yona alikataa kwenda ninawi?

Ni siku ya tatu leo nasoma kitabu cha Yona na nimegundua mambo mengi sana ambayo Bibilia haikuweka wazi sana, kwanza historia ya Ninawi na historia ya Yona

Ninawi ulikuwa ni mji mkubwa sana na tukirudi nyuma enzi za Nimrod Yule mtu aliyemuasi Mungu na kutaka kujenga mnara ili ufike Mbinguni aliishi mji ule,au ni kabila moja na wakaazi wa mji ule,
Yona alijua vizuri historia ya Ninawi na ndio maaana alipotumwa na Mungu kwenda kuhubiri alikimbilia mji mwingine Tarshishi ili kuuepuka mji ule mkubwa

Viwanda vilikuwepo ndani ya Ninawi enzi hizo na mji ulikuwa umejaa wasomi wa kila aina hata barabara zake zilikuwa hazina mfano kulinganisha na mahali popote pale duniani enzi hizo

Yona alikuwa Myahudi na alijua wazi watu wa ninawi walikuwa adui za wayahudi na adui wa Mungu

Alipopewa ujumbe kuelekea ninawi alikaa na kufikiri na kujipima na akaona hafai hata kidogo kwenda kupeleka ujumbe kwenye mji mkubwa wenye viwanda uliojengeka kiuchumi na uliojaa maelfu ya watu wasomi na walioitwa wastaarabu enzi hizo

Mungu anashangaza sana kumtuma mtu mmoja kwenye mji mkubwa kiasi hiki bila maspika makubwa wala kumtangaza kwenye tv na radio na wasaidizi kibao wakiambatana na mafundi mitambo. Hiyo inashangaza. Nimemaliza kitabu cha Yona na nimeona vema kuwagawia nilichojifunza.

Mungu awabariki!

ninawi2.jpg
 
asante sana mkuu,nitarudia kusoma wikiendi hii pia nielewe zaidi,endelea kutusaidia sisi wavivu wakusoma bible
 
Ninawi ni Spain na sio mashariki ya kati kwani huwezi kupanda boti,meli au jahazi toka syria kwenda Mosul,Iraq ni sawa na mtu aseme naenda dodoma na meli toka dar.Yona alitoka mashariki ya kati kwenda Spain (NINAWI)na alimezwa na nyangumi katika bahari ya Mediterenian.
 
Asante na ubarikiwe kwa ujumbe huu japo kuna watu wamekuja na marekebisho ya mahali halisi paitwapo NINAWI
 
Ninawi ni Spain na sio mashariki ya kati kwani huwezi kupanda boti,meli au jahazi toka syria kwenda Mosul,Iraq ni sawa na mtu aseme naenda dodoma na meli toka dar.Yona alitoka mashariki ya kati kwenda Spain (NINAWI)na alimezwa na nyangumi katika bahari ya Mediterenian.

Yona alipanda boti akikimbilia Tarshish sio Ninawi,hebu twende taratibu hapo.
 
Hii kitu nzuri, ila inatufundisha nini wakristo wa leo?
 
Ahsante rosemarie, hayo umesoma wapi kwa sababu umesema kuwa ulikuwa unasoma Bible,biblia yangu haina hizo habari nyingine za maendeleo ya Ninawi

Mkuu Client,kumbuka nimesema biblia haikuweka wazi sana,lakini nimeamua kufanyia kazi mpaka nikafika hapo nilipofikia,story ya Yona na Ninawi inanigusa sana
 
Ninawi ni mji mkongwe na uliokuwa maarufu zaidi miaka ya Yona,mji huu unapatikana katika nchi ya Syria karibu kabisa na mji unaoitwa Mosul uliopo Iraq
Ninawi ulikuwa mji muhimu sana kwa sababu barabara ya kuelekea miji ya kusini na kaskazini ilikuwa inapita katikati ya ninawi
Vile vile kuna mto mkubwa unaitwa khawser unapita katikati ya ninawi na ulisaidia sana kukuwa haraka kwa mji kwa sababu ya kilimo kilichotegemea sana mto huu
Watu wa kwanza kuishi ninawi walikuwa wakiitwa Neolithic na walikuwa wakulima

Kwa nini Yona alikataa kwenda ninawi?

Ni siku ya tatu leo nasoma kitabu cha Yona na nimegundua mambo mengi sana ambayo Bibilia haikuweka wazi sana,Kwanza historia ya Ninawi na historia ya Yona
Ninawi ulikuwa ni mji mkubwa sana na tukirudi nyuma enzi za Nimrod Yule mtu aliyemuasi Mungu na kutaka kujenga mnara ili ufike Mbinguni aliishi mji ule,au ni kabila moja na wakaazi wa mji ule,
Yona alijua vizuri historia ya Ninawi na ndio maaana alipotumwa na Mungu kwenda kuhubiri alikimbilia mji mwingine Tarshishi ili kuuepuka mji ule mkubwa
Viwanda vilikuwepo ndani ya Ninawi enzi hizo na mji ulikuwa umejaa wasomi wa kila aina hata barabara zake zilikuwa hazina mfano kulinganisha na mahali popote pale duniani enzi hizo
Yona alikuwa Myahudi na alijua wazi watu wa ninawi walikuwa adui za wayahudi na adui wa Mungu
Alipopewa ujumbe kuelekea ninawi alikaa na kufikiri na kujipima na akaona hafai hata kidogo kwenda kupeleka ujumbe kwenye mji mkubwa wenye viwanda uliojengeka kiuchumi na uliojaa maelfu ya watu wasomi na walioitwa wastaarabu enzi hizo
Mungu anashangaza sana kumtuma mtu mmoja kwenye mji mkubwa kiasi hiki bila maspika makubwa wala kumtangaza kwenye tv na radio na wasaidizi kibao wakiambatana na mafundi mitambo!!!!!hiyo inashangaza
Nimemaliza kitabu cha Yona na nimeona vema kuwagawia nilichojifunza

Mungu awabariki!


View attachment 140523


Mkuu uposawa kabisa, Kunanyongeza hapa kwa hao wanaosema Yona alielekea Spain

As I've mentioned before, my family has been trying to read through the Bible in a year using the Chronological Arrangement in Accordance's Daily Readings module (included in all three levels of the Library CD-ROM). Last night, we read the book of Jonah.
Now, Jonah is one of those books which makes a lot more sense when you understand a little of its historical and geographical background. First, Jonah is told to go to Nineveh (wherever that is), but instead he flees to Joppa (wherever that is) and boards a ship headed for Tarshish (wherever that is). Using the Atlas, I was able to show my family that Nineveh was the capital of Assyria to the northeast of Israel, and that Joppa was a port city on the Mediterranean coast of Israel. The location of Tarshish is subject to debate, so the Atlas does not contain a site for it, but one possible association is with the Phoenician colony of Carthage, so I pointed out where Carthage was to give my family the sense that Jonah was heading as far west as he could think to go—in the exact opposite direction God told him to go.
When Jonah finally does head to Nineveh, Jonah 3:3 describes the city as "extremely large," and makes a statement about a "walk of three days." The IVP Old Testament Bible Background Commentary explains this as describing the time it would take for Jonah to visit key locations of the city to proclaim his message, rather than the time it would take to travel its diameter (which would imply a city about sixty miles across!).
To give my family a sense of Nineveh's scale, I amplified to the PhotoGuide and showed them photos of a massive reconstructed gate, and the huge mounds which mark the long buried city walls.

Reconstructed City Gate of Nineveh
The City Walls of NinevehPerhaps it's just me, but I've always found the Ninevites' immediate repentance in response to Jonah's message a little startling. Why would the Assyrians, the most powerful and ruthless people of that day, be so receptive to a message of doom from the God of a relatively insignificant nation which had, at various times, been in a state of vassalage to Assyria? Thankfully, the PhotoGuide provided me with an answer:
Interestingly, an ancient text from Gozan describes the occurrence of a total eclipse (in 763 B.C.), accompanied by flooding, famine, and earthquake during the reign of Asshur-Dan III. Such ominous signs might well have made the Ninevites more receptive to Jonah's warning.
How cool is that?! I then turned to the Timeline to see how close the reign of Asshur-Dan III was to the time of Jonah, and sure enough, the two coincided.
The PhotoGuide went on to talk about the Fall of Nineveh, which also showed an exciting parallel to the Bible:
Nineveh was conquered by the Medes and Babylonians in 612 B.C. Little is known of how Nineveh fell, but one ancient historian relates that part of the city wall was swept away by the flooding waters of a river (either the Tigris or the Hosr, which runs through the city) and that Assyria's enemies were able to enter by means of this breach. The book of Nahum also speaks of a flood playing a role in Nineveh's destruction (Nahum 1:8; 2:6).
I don't know about you, but I love this kind of information. To be able to take a story which is so well known for its miraculous elements and see it in the light of its historical and geographical context is really exciting to me. Heck, my family thinks it's pretty cool too.
As I hope this example shows, the Atlas, Timeline, and PhotoGuide are incredible resources for enriching your understanding of the Bible. If you're not taking full advantage of some of these resources, or if you (gasp!) don't have them yet, you don't know what you're missing.
 
Mkuu Fenento,sijakataa wanaodai Yona alitumwa Spain,ila naomba na wao wachambue kitabu cha Yona kama nilivyofanya na wakiweke hapa tuone
 
tujadili hii story
kuna vitu vinanichanganya kuhusu ninawi
  • mwanzo 10:11 unaeleza kuwa ulijengwa na mjukuu wa Nuhu NIMROD huko ashuru(syria),je yona wakati ametemwa na samaki ufukweni huko ninawi,bahari ilitoka wapi wakati eneo hilo lilikuwa ni landlocked kulikuwa na mito tu! bible unaeleza kama ninawi ni mji mkubwa na yona alitumia siku tatu kutembea,wakati vipimo halisi unaonyesha ulikuwa ni kama 7.5 km tu?
 
Wanelotics cyo wakulim niwafugaj.nahap tz tunao n wamasai n wabarbaig.nemrod alikuw mwndaji.ndyo wafrika waleo.mwz0 8:12
 
KWANINI YONA ALIKATAA KWENDA NINAWI? jibu ni kuwa watu wa ninawi walikuwa maadui wa israel hivyo yona alikataa kwenda kwakuwa alijua kama atawahubiri watageuza mioyo yao na kumrudia mungu hivyo "kile ambacho MUNGU alipanga kuwafanyia" Waninawi kisingetokea (adhabu) ndio maana yona hata baada ya kuingizwa kwenye kibanio alihubir juu juu tu ili kutimiza wajibu kisha akaketi pembeni aangalie Mungu atafanya nini...alipoona mungu amewasamehe yona alilaumu "kwani sikusema wewe mungu ni mwenye rehema utawasamehe hawa ndio maana nilikuwa sitaki kuja huku ninawi!" yona 2..
 
KWANINI YONA ALIKATAA KWENDA NINAWI? jibu ni kuwa watu wa ninawi walikuwa maadui wa israel hivyo yona alikataa kwenda kwakuwa alijua kama atawahubiri watageuza mioyo yao na kumrudia mungu hivyo "kile ambacho MUNGU alipanga kuwafanyia" Waninawi kisingetokea (adhabu) ndio maana yona hata baada ya kuingizwa kwenye kibanio alihubir juu juu tu ili kutimiza wajibu kisha akaketi pembeni aangalie Mungu atafanya nini...alipoona mungu amewasamehe yona alilaumu "kwani sikusema wewe mungu ni mwenye rehema utawasamehe hawa ndio maana nilikuwa sitaki kuja huku ninawi!" yona 2..

kwa hiyo unakubaliana na mimi Ninawi upo Syria karibu na Iraq?
 
Ninawi ni Spain na sio mashariki ya kati kwani huwezi kupanda boti,meli au jahazi toka syria kwenda Mosul,Iraq ni sawa na mtu aseme naenda dodoma na meli toka dar.Yona alitoka mashariki ya kati kwenda Spain (NINAWI)na alimezwa na nyangumi katika bahari ya Mediterenian.

Mkuu;
Biblia inasema alishuka mpaka mji wa wa Yafa. Kisha ndo akaona merikebu.
That means alitoka interior kwenda coast
 
Nimejaribu kutafuta vyonzo vingine vya historia,vinasema. ninawi ilikuwepo magharibi mwa mto tigris. ni miongoni mwa miji ya falme za sriya ya kipi hicho. pia mji wa tarshishi upo kusini mwa hispania. ulikuwa mji wa kibiasbara kipindi hicho.
 
Back
Top Bottom