Ninawezaje kuwasaidia watu bila kuwa maarufu?

Sehemu za kufanya hilo jambo ziko nyingi sana
Kuna gereza la watoto jirani na hospt ya Regency, kuna vituo vya mayatima kibao mtaani kama dogo dogo center,
Nenda hospt za wilaya kama Temeke, mwananyamala, Amana kama upo Dar nenda kasaidie mkuu
Kuna wengine hua wanaomba msaada katika tv station na radio,
Njoo kwetu uswazi Yombo, Tandika, usaidie watu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Daaah hata huu uzi nao ni kutafuta umaarufu

Hata hili nalo kweli mpaka ushauri??? Yaan kwenda mahosp/kwa mwenyekiti/vituo vya yatima/mashulen n.k. ukakutana na wasimamiz wakuu. Ukatoa msaada wako. Nawao wakauwakilisha kwa walengwa ..ilo nalo mpaka ushauri!??


Haingii akilin mtu mwenye wazo la kutoa misaada nakusaidia watu , eti mpaka ashauriwr namna ya kuitoa iyo misaada bila ye kujulikan.

Mbona wengi tunasaidia tu kwa uwezo wetu mdogo na hatujulikan nahatujawah omba ushauri.


Anyway awali ya yooote.,, Kwanza kabisa, kabla hujaenda mbali sana, umetizama ndugu na jiran zako hapo. Huyo mama mjane pale hapo mtaani uyo dogo anayehangaika ?? Umeshaongea nao.

The Devil puts a spoonful of honey into neighbor's Wife
 
Daaah hata huu uzi nao ni kutafuta umaarufu

Hata hili nalo kweli mpaka ushauri??? Yaan kwenda mahosp/kwa mwenyekiti/vituo vya yatima/mashulen n.k. ukakutana na wasimamiz wakuu. Ukatoa msaada wako. Nawao wakauwakilisha kwa walengwa ..ilo nalo mpaka ushauri!??


Haingii akilin mtu mwenye wazo la kutoa misaada nakusaidia watu , eti mpaka ashauriwr namna ya kuitoa iyo misaada bila ye kujulikan.

Mbona wengi tunasaidia tu kwa uwezo wetu mdogo na hatujulikan nahatujawah omba ushauri.


Anyway awali ya yooote.,, Kwanza kabisa, kabla hujaenda mbali sana, umetizama ndugu na jiran zako hapo. Huyo mama mjane pale hapo mtaani uyo dogo anayehangaika ?? Umeshaongea nao.

The Devil puts a spoonful of honey into neighbor's Wife
Dah nadhani hujanielewa....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Natamani sana kusaidia watu wenye matatizo mbalimbali ikiwemo afya, elimu, kazi, au shida yoyote ile as long as kweli nimejiridhisha kwamba huyo mtu kweli anahitaji msaada.

Lakini sihitaji kutengeneza umaarufu wa aina yoyote. Yaani ikiwezekana hata yule niliyemsaidia asijue kama ni mimi ndiyo nimemsaidia. Kwa sababu ninaamini kujulikana inaweza isiwe muhimu sana kuliko huo msaada wenyewe.

Tafadhali kama unaweza kuwa na mawazo yoyote juu ya hili, Ninaomba unisaidie.

Asanteni.



Sent using Jamii Forums mobile app
Wacha kutafuta kiki za kiseng.e

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sehemu za kufanya hilo jambo ziko nyingi sana
Kuna gereza la watoto jirani na hospt ya Regency, kuna vituo vya mayatima kibao mtaani kama dogo dogo center,
Nenda hospt za wilaya kama Temeke, mwananyamala, Amana kama upo Dar nenda kasaidie mkuu
Kuna wengine hua wanaomba msaada katika tv station na radio,
Njoo kwetu uswazi Yombo, Tandika, usaidie watu

Sent using Jamii Forums mobile app
Sikupenda kukutana na watu physical au kutumia njia ambayo itadisclose identity yangu. That is my point...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sikupenda kukutana na watu physical au kutumia njia ambayo itadisclose identity yangu. That is my point...

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe husemi ukweli! Mbona kuna namna zaidi ya milioni moja ya kusaidia watu?
1. Ukienda maeneo ya mjini kuna omba omba kibao tena wengine walemavu wanaovuta hisia za watu. Hivi ukiweka fedha kwenye bahasha na ukipita na kumpatia mmoja na kuendelea na safari zako kuna mtu atajua kilichoendelea? Hata huyo uliyemsaidia hatakujua!
2. Hapa JF kila mara kuna watu wanaomba msaada. Kuna aliyekuwa anaomba msaada wa kusafisha figo kwa mashine kila week pale Muhimbili. Na namba ya simu alitoa. Je, ukimtumia fedha kwa kutumia wakala eg Tigo pesa atajua zimetoka wapi?
3. Njia ziko na nyingi mno....
 
Back
Top Bottom