olonzo
Member
- Sep 30, 2017
- 18
- 6
Wakuu mimi naipenda sana demokrasia, pia napenda niwe mwanadiplomasia elimu yangu ni kidato cha 4 point 29 arts. Nipo Tabora nimejishikiza sehemu napata hela ya kula na maisha yanasonga.
Naamin humu ndani kuna watu wanaulewa na elimu zaidi yangu. Je, kwa mazingira niliyopo na elimu yangu ninaweza kusoma na kuwa mwanadiplomasia?
Naomben ushauri.
Naamin humu ndani kuna watu wanaulewa na elimu zaidi yangu. Je, kwa mazingira niliyopo na elimu yangu ninaweza kusoma na kuwa mwanadiplomasia?
Naomben ushauri.