Mokaze
JF-Expert Member
- Aug 3, 2018
- 14,376
- 14,870
Kuna dawa ya asili inasaidia.
Ponda tangawizi, na binzari na kitunguu saumu.
Chemsha pamoja na maganda ya limao.
Weka kwenye bakuli ujivukize mvuke wake ukiwa umejifunika taulo.
Dawa ya asili ??!!