Usakwe kama alivyosakwa dokta Mwaka.Kuna dawa ya asili inasaidia.
Ponda tangawizi, na binzari na kitunguu saumu.
Chemsha pamoja na maganda ya limao.
Weka kwenye bakuli ujivukize moshi wake ukiwa umejifunika taulo.
Sijui Kama ndio dalili zenyewe ila nakohoa hasa usiku tu na nikihema koromeo linapiga mluzi ninamafua .
Naogopa kwenda hospital kwakuhofia aidha kugundulika na covid 19 au kunyanyapaliwa .
Naomba ushauri naomba mniombee.
We dada, hukusikia waziri amesema kujifukiza sio njia sahihi, kwamba mfumo wa hewa haukutengenezwa kwa ajili ya kupitisha joto?.Kuna dawa ya asili inasaidia.
Ponda tangawizi, na binzari na kitunguu saumu.
Chemsha pamoja na maganda ya limao.
Weka kwenye bakuli ujivukize moshi wake ukiwa umejifunika taulo.
Hii tiba tumeitumia miaka nenda rudi, na hasa mtu mwenye nimonia. Tunajua zaidi kuliko vitabu.We dada, hukusikia waziri amesema kujifukiza sio njia sahihi, kwamba mfumo wa hewa haukutengenezwa kwaajili ya kupitisha joto?.
Kwamba kujifukiza kunaweza kusababisha madhara?
Anyway, madoctor huzidiana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna dawa ya asili inasaidia.
Ponda tangawizi, na binzari na kitunguu saumu.
Chemsha pamoja na maganda ya limao.
Weka kwenye bakuli ujivukize moshi wake ukiwa umejifunika taulo.
Sasa wengine mbona mchanganyiko kama huo tumeambiwa tunywe ,??Hii tiba tumeitumia miaka nenda rudi, na hasa mtu mwenye nimonia. Tunajua zaidi kuliko vitabu.
Sijui Kama ndio dalili zenyewe ila nakohoa hasa usiku tu na nikihema koromeo linapiga mluzi ninamafua .
Naogopa kwenda hospital kwakuhofia aidha kugundulika na covid 19 au kunyanyapaliwa .
Naomba ushauri naomba mniombee.
Usisubiri kutengwa ,jitenge mwenyewe usiue ndugu zako wanaokuzunguka go alone nigga ,kunywa maji mengi na machungwaSijui Kama ndio dalili zenyewe ila nakohoa hasa usiku tu na nikihema koromeo linapiga mluzi ninamafua .
Naogopa kwenda hospital kwakuhofia aidha kugundulika na covid 19 au kunyanyapaliwa .
Naomba ushauri naomba mniombee.