Nionyeshe hicho kiwango chako kikubwa sana cha maarifaUna kiwango kidogo sana Cha maarifa
Nionyeshe hicho kiwango chako kikubwa sana cha maarifaUna kiwango kidogo sana Cha maarifa
Ushindi wa CCM ni wa kubebwa na wakurugenzi pamoja na polisi
Mchezaji skihamia timu hahami na mashabiki wake!!
Umesahau usajili wa Lowasa cdm je hakuhama na mashabiki wake? Mpira wa miguu usiulinganishe na siasa. Siasa mtu akiwa mbovu watu wanamtafuta aliko kiongizi wanaeamini atawavusha na kuwafikisha wanakokutaka.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kupinga maovu ya shetani ndiyo maarifa yenyewe.Nionyeshe hicho kiwango chako kikubwa sana cha maarifa
Sana ,hapa ni kama wanampokea Rais ...Hili Jamaa lilikuwa na guvu za ajabu sana! 😆 😆 😆 Hebu ona bashasha ya Dk Slaa! Siku hiyo jioni ndipo Josephine alipomchenjia na kubadilisha gia angani!Hii picha ina maelelzo mengi!
Att;Faiza ona CCM damu huyu .....shangirie,sarama,maarum,taaruma,dora, Hii si bahati mbaya aisee!Ccm lazima washangirie kurudi sarama kwa vijana wao ambao walitumwa kufanya kazi maarum ndani ya chama cha chadema kiasi cha kufikia kupewa mpaka uongozi na kurudi sarama.
Hivyo unaeshangaa kurudi kwa vijana wao wapendwa unaonekana umekariri siasa za majukwaani na kuandamana pamoja nakutengeneza migomo ya wanafunzi na wafanyakazi wa sekta muhim km Elim ,afya nk.
Siasa ni taaruma, tofauti na hapo uwe mwanasiasa wa kutengeneza pesa tu nasio kuchukua dora
Maana siasa nayo ukiipatia nibiashara nzuri sana.
Kwahiyo hao vijana wameshafanya kazi yao wamerudi kwa bosi wao ccm wapangiwe majukum mengine.
Hao niwahamiji kwako wewe kipofu wa siasa! Walikuwa wakwetu, wakaja kwenu kuwaperereza mkawapokeaMtoa mada una hoja ya msingi, wafia chama ni watu wa kuwahurumia wanafanya kazi kubwa mno lakini wahamiaji wakija mara Mkuu wa Mkoa, Wilaya, Uwaziri, Naibu waziri, Balozi nk
Wafia chama kweli mnavyofanyiwa si haki.
kuperereza = kupelelezaHao niwahamiji kwako wewe kipofu wa siasa! Walikuwa wakwetu, wakaja kwenu kuwaperereza mkawapokea
Wakakiperereza chama wakaleta taarifa tena wakiwa sarama.
Sasa lazima wapumzishwe kwa kupewa uteuzi. Harafu watumwe wengine kuja kuiperereza chadema.
Jifunzeni.
Professor Beregu hapo anaona aibu au pozi tu? Teh tehHii picha ina maelelzo mengi!