G Sam
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 11,555
- 35,874
Nina washangaa sana hawa watu na kwa kweli sielewi wanashangilia nini!
Mtu anahamia ndani ya chama chao ili apate ulaji (Achukue nafasi ya mwana CCM ambaye pengine angekumbukwa kwenye hiyo nafasi) kisha yeye anakaa anashangilia kama zuzu!
Hivi doctor Mashinji, Machali, Kafulila na wengine wengi sampuli ya kina Waitara, Gekul etc, walienda CCM kukiimarisha chama? Ni asset?
Hawa nawahakikishieni kuwa jogoo hatowika kabla hamjaanza kuwavurumishia mawe na maneno makali! Muda utaongea.
Mtu anahamia ndani ya chama chao ili apate ulaji (Achukue nafasi ya mwana CCM ambaye pengine angekumbukwa kwenye hiyo nafasi) kisha yeye anakaa anashangilia kama zuzu!
Hivi doctor Mashinji, Machali, Kafulila na wengine wengi sampuli ya kina Waitara, Gekul etc, walienda CCM kukiimarisha chama? Ni asset?
Hawa nawahakikishieni kuwa jogoo hatowika kabla hamjaanza kuwavurumishia mawe na maneno makali! Muda utaongea.