Sawa kamanda.... hujanipa pole lakini... Fanza basi:smile-big:Asprin, you are one funny JF member! lol
Hommie umeamua kuulizia ulimi mdomoni? Jasiri haachi asili:welcome:Hommi pole sana bana you will be okay (actually umeshapona)
halafu mambo yetu kama kawaida do ze nidiful...:welcome:
Hongera kwa lipi dada? kutenguka kiuno au?:confused2::confused2:Mhh pole na hongera mgonjwa:smile-big:
Dada Ahsante kwa angalizo. FYI mama matesha anajua nimeteguka enka. so hana tabu na tiba nayopata...:fencing:Pole sana my dear brother kwa maswahibu yaliyokukuta, ni majaribu tu yataisha.
Mama Matesha if u come across this page naomba ubrowse ukiwa umefunga macho I dont want to loose u my wifi kipenzi.
Mila inaniruhusu kuoa mke wa pili.... r u available? Hili litategemea ruhusa ya mtibuji wangu...:welcome:i hope hata home yuko hivi, namuonea wivu mama matesha!
Mchungaji kazi yako ni maombi..... I prefer distance praying....:shocked::shocked:Thats serious buddy! Ninaomba umwambukize mchungaji huo ugonjwa ili naye akapate hiyo huduma kwa mtaalamu huyo. Ila nitamwomba na yeye avue nguo zake ili tiba iende vizuri, Imeandikwa dawa ya moto ni moto.
Mchungaji
Dada Ahsante kwa angalizo. FYI mama matesha anajua nimeteguka enka. so hana tabu na tiba nayopata...:fencing:
Mila inaniruhusu kuoa mke wa pili.... r u available? Hili litategemea ruhusa ya mtibuji wangu...:welcome:
Mchungaji kazi yako ni maombi..... I prefer distance praying....:shocked::shocked:
Wapwa zangu na mabinamu,
Juzi kati hapa kaka mkubwa nlipata dhahma lililonilazimu kutokuwa hewani hapa na kuhamishia kambi hospitali. Nipeni pole tafadhali.
Mojawapo ya tiba nilizotakiwa kuzipata katika dhahma hii ni mazoezi ya viungo. Sasa sijui kama ni mpango wa hospitali au mipango ya Mungu kwa mimi kupewa physiotherapist yule anifanyie mazoezi na massage.
Massage anayonifanyia dada huyu, natamani nisipone haraka. Sijui ndio mwendo wenyewe au anafanya makusudi? Manake natakiwa kusaula viwalo vyote, nalazwa kitandani, napakwa mafuta halafu mikono milaini ambayo haijawahi kusonga ugali inakuwa inaniminyaminya maeneo ya kiunoni. Napata maumivu makali lakini nikimwangalia binti huyu huyu, maumivu yanaisha ghafla. Then nageuzwa kulala chali naye anaanza kunikanda upande wa baioloji. Balaa linaanzia hapo sasa kwa sababu samtaimz anapitiliza na kugusa ile sehemu kuu ya mwanaume.
Sasa najiuliza, huyu binti mrembo na mtanashati, kashajionea vya mama matesha kwa kiasi chake........halafu tumeshakuwa marafiki kiasi kwamba tumeshapeana namba za simu incase of emergency..... sistahili nami kumlipizia mama matesha kwa kuviangalia vya huyu binti? Manake nshapona lakini najikuta nadanganya sijapona ili niendelee na matibabu haya.....!!!
Na ikitokea ikawa hivyo. hiyo nayo itakuwa infidelity au sehemu ya tiba?
Ntawamiss sana maswahiba kwa wiki mbili hizi hapo kaunta......niko bize najitibia.
Nawatakieni wikiendi njema, hatutakuwa sote kaunta.....:violin::violin::violin:
Ahsante kwa angalizo mtumishi...... Kwa hiyo mwenye akili ni yule aziniye na mwanaume mwenziye.....siyo??:confused2::confused2:Mtu azinie na mwanamke hana akili kabisa; Afanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake. Mithali 6:32
Hivi kutenguka kiuno ni sehemu ya maovu??Hivi ni kwa nini watu wanafurahia maovu? na kuyapamba?
Am :confused2::confused2: too!!!Du kweli kabisa, ila ssa hapa nani amezini tena?:confused2:
Kwa hiyo ndio kusema nshazini na mtibuji wangu? OMG!!!!:glasses-nerdy::glasses-nerdy:naambiwa kuwa AMWANGALIAYE MWANAMKE KWA KUMTAMANI AMEKWISHAZINI NAFSINI MWAKE.
kuna pa kutokea hapo?
ah we acha tu
Mtumishi sihitaji tiba ya kimaombi......... Nahitaji masaji... masaji.... masaji!!!!Pole Asprin, Mungu atakuponya... (Hivi umesema umeshapona eeh?)
Angalia huyo mtibuji asijetonesha kiuno hicho ndugu yangu...
Angalizo na ushauri wako UTAZINGATIWA kamanda. Hebu kahakikishe haki niliyokutendea kwenye hii yuziful postUskubali mkuu! Bila kumchungulia huyo kimwana matanshau hakyamungu hautapona, skutanii mkuu, FANYA KWELI UPONE.
Kamanda una matatizo ya kiuno?:tinfoil3::tinfoil3:Duh...! Hospitali hiyo iko wapi? Nahisi kama vile hata hali ya hewa ni baridibaridi...! Tafadhali, utueleze hiyo hospitali ilipo, na usije ukamchukua mhudumu huyo....! Wanaohitaji huduma hiyo ni wengi...!
Jitahidi kisala zaidi tafadhali:fencing:Nitajitahidi Sala na Kazi kiongozi!
i hope hata home yuko hivi, namuonea wivu mama matesha!
Ahsante kamanda kwa kujali maslahi yangu:welcome:Omba tender ya kumkanda kanda kiuno
Hivi hawa.... marafiki zangu....wapwa zangu.... wenye wake kama mimi. Wooote hawa wanataka kunidanganya, niwape namba ya mtibuji wangu.....wamharibie maisha yake......woooote hawa .....loooh lakini mimi nasemaaa SIDANGANYIIIIIKIIII!!!!:becky::becky::becky:hahahaha aspirin umefulia.
umezini moyoni na si bure umeshapata gonjwa la kuambukizwa.
just nitumie namba yake ktk PM nimpime kama hana maradhi huyo
Mimi bana mimi......... Sina cha kukupa ndugu yangu zaidi ya hiki hapa chiniUmeambiwa " mtu akimtazama mwanamke kwa matamanio, basi ameisha zini nae moyoni"! Asprin bro, ni heri uhukumiwe kwa kosa kamili kuliko nusu kosa, we umeisha hukumiwa kuwa umezini nae moyoni, sa si bora ukamilishe tu zini nae maungoni, ili kama ni adhabu ya kuzini iwe kamili!
Duh! we sindo juzi ulisema unampenda mkeo na kushauri watu wawapende wake zao leo hii unatoa ushauri huu duh! kwa mume wa mtu!?Uskubali mkuu! Bila kumchungulia huyo kimwana matanshau hakyamungu hautapona, skutanii mkuu, FANYA KWELI UPONE.
Hilo angalizo kwa kweli itakuwa ngumu asee....nipe kifungu kingine chenye japo faraja lol!:confused2::confused2: