Lucas
JF-Expert Member
- Dec 3, 2011
- 2,457
- 1,108
ilikuwa ni ijumaa ya tarehe 24-11-2000, kipindi hicho nikiwa mwanafunzi wa Tosamaganga Iringa, siku hii tulifunga shule na kuruhusiwa kwenda makwetu baada ya kumaliza mtihani wa mwisho.
kwa hamu ya kwenda nyumbani, tuliamua kutafuta usafiri wa kuondoka Iringa siku hiyo hiyo na kwa bahati tukapata basi la kampuni ya safina lililokuwa tupu bila abiria yeyote mnamo saa nane na nusu mchana, tulikuwa kama wanafunzi 20 kutoka Tosa boys, na abiria wengine kama wa 3 hivi, safari yetu ilianza vizuri sana...
kwa hamu ya kwenda nyumbani, tuliamua kutafuta usafiri wa kuondoka Iringa siku hiyo hiyo na kwa bahati tukapata basi la kampuni ya safina lililokuwa tupu bila abiria yeyote mnamo saa nane na nusu mchana, tulikuwa kama wanafunzi 20 kutoka Tosa boys, na abiria wengine kama wa 3 hivi, safari yetu ilianza vizuri sana...