Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilivyosikia ni kwamba ile secretariat ya ajira ni full wachaga sasa kama umefanya interview na mchaga basi nafasi yako ni finyu sana na ya mchaga ni kubwa sana kupata
Je ni kweli hii
Nilivyosikia ni kwamba ile secretariat ya ajira ni full wachaga sasa kama umefanya interview na mchaga basi nafasi yako ni finyu sana na ya mchaga ni kubwa sana kupata
Je ni kweli hii
Ulivyosikia na nani? Umenisumbua kufungua thread yako nikifikiri umeandika jambo la maana kumbe huna tofauti na gazeti la Al Nuur. Hivi kwa akili yako ofisi inaweza kuwa na watu wa kabila moja tu na mndengereko asiwepo?
Nilivyosikia ni kwamba ile secretariat ya ajira ni full wachaga sasa kama umefanya interview na mchaga basi nafasi yako ni finyu sana na ya mchaga ni kubwa sana kupata
Je ni kweli hii
Nilivyosikia ni kwamba ile secretariat ya ajira ni full wachaga sasa kama umefanya interview na mchaga basi nafasi yako ni finyu sana na ya mchaga ni kubwa sana kupata
Je ni kweli hii
Ulivyosikia na nani? Umenisumbua kufungua thread yako nikifikiri umeandika jambo la maana kumbe huna tofauti na gazeti la Al Nuur. Hivi kwa akili yako ofisi inaweza kuwa na watu wa kabila moja tu na mndengereko asiwepo?
hapo kwenye nyekundu mkubwa ndio tatizo