M-pesa
JF-Expert Member
- Sep 4, 2011
- 602
- 151
Ninauza shamba lenye ukubwa wa ekari moja, lipo umbali wa kilometa 25 kutoka ferry. Eneo linaitwa mbutu Mkwajuni.
Bei Tshs. 4000,000 ( Milioni nne). Mmiliki ni mimi mwenyewe, ni pm tufanye biashara.
Nimeattach Pdf document ya Kigamboni new city ili ujuwe ni eneo gani litakaloathiriwa na mradi. Pia mnunuzi yuko huru kwenda kufanya search ya eneo Manispaa ya Temeke na wizarani ili kujiridhisha kabla ya kununua.
View attachment Kigamboni New City B.pdf
Kwa Maelezo ya Ziada Kuhusu Kigamboni Tafadhali Tembelea website ifuatayo kujiridhisha kabla ya kufanya maamuzi:
http://www.ardhi.go.tz/kigamboni-new-city.html
Bei Tshs. 4000,000 ( Milioni nne). Mmiliki ni mimi mwenyewe, ni pm tufanye biashara.
Nimeattach Pdf document ya Kigamboni new city ili ujuwe ni eneo gani litakaloathiriwa na mradi. Pia mnunuzi yuko huru kwenda kufanya search ya eneo Manispaa ya Temeke na wizarani ili kujiridhisha kabla ya kununua.
View attachment Kigamboni New City B.pdf
Kwa Maelezo ya Ziada Kuhusu Kigamboni Tafadhali Tembelea website ifuatayo kujiridhisha kabla ya kufanya maamuzi:
http://www.ardhi.go.tz/kigamboni-new-city.html