SOLD: Ninauza shamba langu Bagamoyo (Fukayosi)

Status
Not open for further replies.
Habari wakuu.

Nina shamba langu nauza, lipo bagamoyo kijiji cha fukayosi.

Ni takriban kilomita 18 kutokea bagamoyo mjini mpaka lilipo shamba.

Shamba limepimwa, lina hati, limezungushiwa kingo pande zote na halina mgogoro wowote.

Gari inafika mpaka shamba maana eneo limepangiliwa na barabara zinapitika majira yote.


Ukubwa wa shamba ni hekari mbili.
Shamba halina dalali kwani mimi ndie muuzaji na mmiliki.

Bei ni Shilingi Milioni tatu (3),pungufu tunazungumza.

Tunaweza kuwasiliana kupitia PM Kwa aliye tiyari pia kwa utaratibu wa kuliona shamba na kujiridhisha.

Kwa wahitaji karibuni sana.
Nahitaji mawasiriano yako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari wakuu.

Nina shamba langu nauza, lipo bagamoyo kijiji cha fukayosi.

Ni takriban kilomita 18 kutokea bagamoyo mjini mpaka lilipo shamba.

Shamba limepimwa, lina hati, limezungushiwa kingo pande zote na halina mgogoro wowote.

Gari inafika mpaka shamba maana eneo limepangiliwa na barabara zinapitika majira yote.


Ukubwa wa shamba ni hekari mbili.
Shamba halina dalali kwani mimi ndie muuzaji na mmiliki.

Bei ni Shilingi Milioni tatu (3),pungufu tunazungumza.

Tunaweza kuwasiliana kupitia PM Kwa aliye tiyari pia kwa utaratibu wa kuliona shamba na kujiridhisha.

Kwa wahitaji karibuni sana.
KAKA KUNA KAMPUNI WANAJIITA KVP INTERPISES KAMA SIJAKOSEA WANAUZA MASHAMBA FUKUSIYO BAGAMOYO KILA JUMAMOSI WANAWAPELEKA WATU KUWAONYESHA JE NA WEWE NI HAO AU, HIYO FUKUSIYO INA UKUBWA GANI MBONA MASHAMBA HAYAISHI JAMANI AU HAKUFAI
 
KAKA KUNA KAMPUNI WANAJIITA KVP INTERPISES KAMA SIJAKOSEA WANAUZA MASHAMBA FUKUSIYO BAGAMOYO KILA JUMAMOSI WANAWAPELEKA WATU KUWAONYESHA JE NA WEWE NI HAO AU, HIYO FUKUSIYO INA UKUBWA GANI MBONA MASHAMBA HAYAISHI JAMANI AU HAKUFAI
Mkuu sijaweza kuwatambua hao KVP Enterprises kwa sasa.

Fukayosi ni kubwa na maeneo ya wazi bado ni mengi yanauzwa.

Ni vyema ukajiridhisha kwanza kabla ya manunuzi usijetapeliwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Itakuwa uongo kusema mchanga hakuna japo nanasi zinastawi.

Kwa hiyo hoja ya mchanga sidhani kama ina tija.

Kikubwa muhusika aangalie kama ni kilimo afanye tafiti kwanza kuhusu mazao yanayoweza kustawi vyema katika hali hii kwa kuwa kila zao lina mazingira yake

Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi nimefika na nimeona.
Sehemu waliotaka kuniuzia pana hadi vichuguu, Sasa kama unataka nenda.
Bado naendelea kusema ni mfinyanzi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom