bbc
JF-Expert Member
- Jan 18, 2016
- 3,841
- 4,145
Hizi zimetumika katika biashara kidogo nikazihamishia katika matumizi ya nyumbani, zinafanya kazi vizuri, zote automatic moja ya kufua, kusuuza na kukamua, nyingine kwa ajili ya kukausha, wale wenzangu wa kauka nikuvae hizi ndio zenyewe
Sababu ya kuuza: napumzisha nyingine za ofisi hivyo ninazileta kwa matumizi home, hizi zinabidi ziondoke
Bei: zote mbili nnataka TZS 800,000/= tuu
Faida utakayopata: unaweza kufungua laundry service ukajiingizia kipato maana bado zinapiga mzigo vizuri
Faida nitakayopata: sitakuwa na mizigo ya mashine stoo ambazo sizitumii
Njia ya mawasiliano: nicheki PM
View attachment 1102189View attachment 1102190
Nilidhani ni aina ya LG!!