chilamjanye
Senior Member
- Oct 5, 2007
- 110
- 3
Ninauza kiwanja changu kipo madale ni robo heka kimezungushiwa michongoma ni karibu na kwa Kawawa kinafikika kiurahisi lakini hakijapimwa bei milioni 5.5 kuna mazungumzo nauza kwa sababu nina shida ya Ada ya Chuo na Dalali Hatakiwi mimi ndo mwenye mali na muuzaji.
Note: nilishatangaza mwanzoni watu wakanijoke wakaahidi kuja hawakuja nina na namba zao na messages hao sitzungumza nao tena.
Nahitaji aliye serious jamani,
namba ni 0787585860 na email ni sabe_05@yahoo.com
Note: nilishatangaza mwanzoni watu wakanijoke wakaahidi kuja hawakuja nina na namba zao na messages hao sitzungumza nao tena.
Nahitaji aliye serious jamani,
namba ni 0787585860 na email ni sabe_05@yahoo.com