mollel mollel
Member
- Oct 8, 2018
- 16
- 11
Nina tatizo la kuumwa kichwa kwa upande mmoja nikimeza dawa ya maumivu bado haiponi, na imefikia kiwango ya kwamba ikianza kuuma zaidi naishiwa nguvu hv, pia najiskia kuchoka mda wote na nikijaribu kulala nashindwa kunakuwa na mshtuko fulani nashtuka so nashindwa hata kulala.
Wadau naombeni ushauri kuhusu hili.
Wadau naombeni ushauri kuhusu hili.