Mkuu Mbaliche
Shukrani sana tafadhali weka contact zako na pia ikiwezekana weka gharama za utengenezaji.Kama unaona shida niPM tafadhali tafadhali sana.
Mkuu cont zangu nimesha toa hapo kwa mh richmark,kuhusu bei zina tofutiana kulingana na mazingira,urefu wa kisima nk.
Mimi nahitaji kuchimba Kisima cha kutumia hiyo pump yenu maeneo ya Buza je inagharimu kiasi gani kwa wastani?Ndg zangu maendeleo ya kilimo,ufugaji nk, sasa tunatengeneza windmill waterpump,pamp inayovuta maji ktk visima,mito,mabwawa kwa kutumia upepo. Pia tunachimba visima virefu na vifupi,pia local greenhouse & drip irigation kwa bei poa
Mkuu shukrani kwa taarifa na contact zako...Ingekuwa vyema kama ungeweka basic details...kama bei, picha za vifaa na zaidi hata email address wengine wanaishi nje ya nchi.. Wengi tunahitaji huduma hii maana bongo maji bado ni kitendawili. Natanguliza shukrani.Ok! Mkuu cont zangu ni 0768092950