Habari wanajukwaa,
Nahitaji kujuzwa wapi naweza pata soko la maboga, kwani nataraji kuvuna maboga takriban fuso moja au zaid mnamo mwezi wa nane. Nimelima mkoani Tanga wilaya ya Handeni.
Nilipanda maboga kwa lengo la kuhifadhi unyevu kwenye shamba langu la mahindi,lakini kwa jinsi yalivyomea na kuzaa ndio napata wazo la kutafuta soko. Karibuni.
Nahitaji kujuzwa wapi naweza pata soko la maboga, kwani nataraji kuvuna maboga takriban fuso moja au zaid mnamo mwezi wa nane. Nimelima mkoani Tanga wilaya ya Handeni.
Nilipanda maboga kwa lengo la kuhifadhi unyevu kwenye shamba langu la mahindi,lakini kwa jinsi yalivyomea na kuzaa ndio napata wazo la kutafuta soko. Karibuni.