Msandawe Halisi
JF-Expert Member
- Nov 5, 2010
- 647
- 350
1.Kabla sijampata nilimwonyesha kiwanja cha kaka yangu nikamdanganya changu
2.Nilimdanganya mshahara anao upata yeye mimi napokea mara mbili yake ukweli napokea nusu ya mshahara anayelipwa yeye
3.Pesa ambazo nilitumia kwenda Outing na matumizi mbalimbali kumfanya awe happy, kiukweli mimi ni muhasibu wa kikundi fulani hivi kwa sasa nina loss kubwa sana
4.Nilimdanganya sina mtoto, kwa kweli nina mtoto moja
Nimemdanganya mambo mengi sana. Wiki ijayo napeleka posa ili tufunge ndoa. Sasa naombeni ushauri, nimwambie au niache aje akumbane nayo mwenyewe ndani ya ndoa.
2.Nilimdanganya mshahara anao upata yeye mimi napokea mara mbili yake ukweli napokea nusu ya mshahara anayelipwa yeye
3.Pesa ambazo nilitumia kwenda Outing na matumizi mbalimbali kumfanya awe happy, kiukweli mimi ni muhasibu wa kikundi fulani hivi kwa sasa nina loss kubwa sana
4.Nilimdanganya sina mtoto, kwa kweli nina mtoto moja
Nimemdanganya mambo mengi sana. Wiki ijayo napeleka posa ili tufunge ndoa. Sasa naombeni ushauri, nimwambie au niache aje akumbane nayo mwenyewe ndani ya ndoa.