Ninatafuta vifaranga vya kuku

akatanyukuile

JF-Expert Member
Sep 13, 2019
314
308
Habari wana jamvi ninahitaji vifaranga vya kuku mwezi mmoja chotara au black leghon ambavyo vimeisha pata chanjo na vimeifadhiwa vizuri.

Ninaomba kama unaweza kuvipata au unajua kitalu kizuri kilipo tuwasiliane, location nipo Kinondoni Mabwe Pande. Bei tutaelewana asante sana ni kwa Dar pekee na eneo lisiwe nje ya wilaya ya Kinondoni.
 
Back
Top Bottom