Mjina Mrefu
JF-Expert Member
- Dec 6, 2016
- 3,030
- 3,321
Habari wanajamvi,
Mimi naitwa Mjina Mrefu, nina umri wa miaka 35. Nilishaoa mke wa kwanza miaka sita iliyopita na nina watoto wawili wa kike.
Sasa ninaona ni muda muafaka wa kuongeza mke wa pili. Na ningependa kama ningempatia hapa JF.
Kama una vigezo hivi vifuatavyo na upo interested, basi ni pm.
1. Mweupe wa moderate.
2. Umri wa miaka 24-28
3. Usiwe na chura sana. Size mfano wa Hamisa Mobeto kiumbo.
4. Elimu kidato cha nne hadi degree.
5. Uwe Hujawahi kuzaa
6. Urembo wa sura bila hata makeup na uwe unasuka. Yaani uwe na nywele ndefu.
7. Uwe tayari kuzaa na mimi watoto wanne
6. Uwe tayari kukubali nioe mke wa tatu.
Endapo ukikidhi vigezo vyangu na kukubali kuolewa na Mjina Mrefu, utapewa vifuatavyo baada ya kuolewa na kushika mimba ya kwanza.
1. Gari ya kutembelea aina ya brevis
2. Nyumba ya kuishi Mbezi kwa msuguli
3. Biashara ya kuuza vitenge vya jumla Manzese kwa ajili ya kujipatia kipato chako cha kukidhi mahitaji yako madogo madogo.
4. Mahitaji yote muhimu ya msingi unayohitaji
Ikumbukwe kuwa, sijamchoka mke wangu wa kwanza, bali ilikua ni mipango yangu kuoa wake watatu na wote niwape equal treatment.
Ukiwa unahisi unakidhi hivi vigezo, na upo tayari, ni pm tu tuyajenge mke wangu mtarajiwa wa pili.
NJOO KWA LENGO LA KUOLEWA NA SIYO LA MALI
Karibu.
Mimi naitwa Mjina Mrefu, nina umri wa miaka 35. Nilishaoa mke wa kwanza miaka sita iliyopita na nina watoto wawili wa kike.
Sasa ninaona ni muda muafaka wa kuongeza mke wa pili. Na ningependa kama ningempatia hapa JF.
Kama una vigezo hivi vifuatavyo na upo interested, basi ni pm.
1. Mweupe wa moderate.
2. Umri wa miaka 24-28
3. Usiwe na chura sana. Size mfano wa Hamisa Mobeto kiumbo.
4. Elimu kidato cha nne hadi degree.
5. Uwe Hujawahi kuzaa
6. Urembo wa sura bila hata makeup na uwe unasuka. Yaani uwe na nywele ndefu.
7. Uwe tayari kuzaa na mimi watoto wanne
6. Uwe tayari kukubali nioe mke wa tatu.
Endapo ukikidhi vigezo vyangu na kukubali kuolewa na Mjina Mrefu, utapewa vifuatavyo baada ya kuolewa na kushika mimba ya kwanza.
1. Gari ya kutembelea aina ya brevis
2. Nyumba ya kuishi Mbezi kwa msuguli
3. Biashara ya kuuza vitenge vya jumla Manzese kwa ajili ya kujipatia kipato chako cha kukidhi mahitaji yako madogo madogo.
4. Mahitaji yote muhimu ya msingi unayohitaji
Ikumbukwe kuwa, sijamchoka mke wangu wa kwanza, bali ilikua ni mipango yangu kuoa wake watatu na wote niwape equal treatment.
Ukiwa unahisi unakidhi hivi vigezo, na upo tayari, ni pm tu tuyajenge mke wangu mtarajiwa wa pili.
NJOO KWA LENGO LA KUOLEWA NA SIYO LA MALI
Karibu.