LUSHEPELEJA
Member
- Jan 24, 2017
- 53
- 22
Awe na umri kati ya miaka 21-26,mkristo wa kanisa katoliki, elimu yoyote, awe tayari kuolewa, mwenye ajira hata asiyeajiriwa, kabila lolote ili mradi ana maadili mema, niko tayari kuoa, mi ninamtoto mmoja, ni mwajiriwa wa serikali, mwenye uhitaji naomba anifuate inbox
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app