Ninatafuta mchumba ambae tukiendana tuje tuoane

May 4, 2017
5
8
Ninatafuta mchumba tuje tufunge ndoa, awe serious kweli ,elimu yangu ni diploma Nina miaka 25.
Ninatarajia nimpate mchumba mwenye cfa zifuatazo
Mwenye upendo wa dhati
Mwenye kunijali mm na familia yangu
Mtanashati
Anizidi umri asipungue wa kwangu
Mcha mungu
Awe mrefu kidogo sio sana
Mkristo
Awe ameajiriwa serikalini na awe na akili za kutafuta Maisha.
Mwenye upendo kwa watoto wetu tutakaobarikiwa kuwapata
Ambae hajawahi kuoa

Kwa aliye serious please.
Tabia zingine tutaelekezana [
Karibu.
 
Ninatafuta mchumba tuje tufunge ndoa, awe serious kweli ,elimu yangu ni diploma Nina miaka 25.
Ninatarajia nimpate mchumba mwenye cfa zifuatazo
Mwenye upendo wa dhati
Mwenye kunijali mm na familia yangu
Mtanashati
Anizidi umri asipungue wa kwangu
Mcha mungu
Awe mrefu kidogo sio sana
Mkristo
Awe ameajiriwa serikalini na awe na akili za kutafuta Maisha.
Mwenye upendo kwa watoto wetu tutakaobarikiwa kuwapata
Ambae hajawahi kuoa

Kwa aliye serious please.
Tabia zingine tutaelekezana [
Karibu.
Wewe sekta binafsi huitaki hadi serikalini
 
Duh aise nyie ndo Wale mnaopata matapeli wa mapenzi kama wanawake wote wangekuwa kama ww kusingekuwa na ndoa kbs duniani unasubiri sana kupata mume mwenye ivyo vigezo ushauri wangu kwako achana na mambo ya kijinga kama hayo we omba Mungu akupe mume bora sio wewe uanze kuchagua aina ya mume ukiendelea na hiyo tabia unaisikia ndoa kwa wenzako tyu
 
Ninatafuta mchumba tuje tufunge ndoa, awe serious kweli ,elimu yangu ni diploma Nina miaka 25.
Ninatarajia nimpate mchumba mwenye cfa zifuatazo
Mwenye upendo wa dhati
Mwenye kunijali mm na familia yangu
Mtanashati
Anizidi umri asipungue wa kwangu
Mcha mungu
Awe mrefu kidogo sio sana
Mkristo
Awe ameajiriwa serikalini na awe na akili za kutafuta Maisha.
Mwenye upendo kwa watoto wetu tutakaobarikiwa kuwapata
Ambae hajawahi kuoa

Kwa aliye serious please.
Tabia zingine tutaelekezana [
Karibu.
Wasiliana na Frola Mbasha atakusaidia. Yeye anajua kuwaopoa
 
Shunie usimkatishe tamaa mwenzio
........ha ha ha ha.
simkatishi tamaa mzee wa kungoa ila huo ndio ukweli kama kigezo labda anajua ndio wenye hela mbona sekta binafsi wengi wana hela hata waliojiajiri wenyewe pia

acha asubilie wa serikalini
 
simkatishi tamaa mzee wa kungoa ila huo ndio ukweli kama kigezo labda anajua ndio wenye hela mbona sekta binafsi wengi wana hela hata waliojiajiri wenyewe pia

acha asubilie wa serikalini
Wa serikalini.. Mrefu kiasi... Mkristo.... Tabia nzuri ha ha ha ha ha ha ha ha ha.
 
Ninatafuta mchumba tuje tufunge ndoa, awe serious kweli ,elimu yangu ni diploma Nina miaka 25.
Ninatarajia nimpate mchumba mwenye cfa zifuatazo
Mwenye upendo wa dhati
Mwenye kunijali mm na familia yangu
Mtanashati
Anizidi umri asipungue wa kwangu
Mcha mungu
Awe mrefu kidogo sio sana
Mkristo
Awe ameajiriwa serikalini na awe na akili za kutafuta Maisha.
Mwenye upendo kwa watoto wetu tutakaobarikiwa kuwapata
Ambae hajawahi kuoa

Kwa aliye serious please.
Tabia zingine tutaelekezana [
Karibu.
Subiri hili sakata la vyeti huko serikalini liishe ndo ulete mada otherwise unaweza ukapata jamaa afu serikali ikammwaga
 
acha kumkatisha tamaa jomba kama we huna vigezo si upige kimya chalii unakuja kuwaje? mbona wenye vigezo vyetu tupo tele!..tatizo hapa mi nadhani tu huyu du hatakuwa na vigezo vyangu
Duh aise nyie ndo Wale mnaopata matapeli wa mapenzi kama wanawake wote wangekuwa kama ww kusingekuwa na ndoa kbs duniani unasubiri sana kupata mume mwenye ivyo vigezo ushauri wangu kwako achana na mambo ya kijinga kama hayo we omba Mungu akupe mume bora sio wewe uanze kuchagua aina ya mume ukiendelea na hiyo tabia unaisikia ndoa kwa wenzako tyu
 
Ninatafuta mchumba tuje tufunge ndoa, awe serious kweli ,elimu yangu ni diploma Nina miaka 25.
Ninatarajia nimpate mchumba mwenye cfa zifuatazo
Mwenye upendo wa dhati
Mwenye kunijali mm na familia yangu
Mtanashati
Anizidi umri asipungue wa kwangu
Mcha mungu
Awe mrefu kidogo sio sana
Mkristo
Awe ameajiriwa serikalini na awe na akili za kutafuta Maisha.
Mwenye upendo kwa watoto wetu tutakaobarikiwa kuwapata
Ambae hajawahi kuoa

Kwa aliye serious please.
Tabia zingine tutaelekezana [
Karibu.
Npo tayar mama tuwasliane tujenge malengo
 
Ninatafuta mchumba tuje tufunge ndoa, awe serious kweli ,elimu yangu ni diploma Nina miaka 25.
Ninatarajia nimpate mchumba mwenye cfa zifuatazo
Mwenye upendo wa dhati
Mwenye kunijali mm na familia yangu
Mtanashati
Anizidi umri asipungue wa kwangu
Mcha mungu
Awe mrefu kidogo sio sana
Mkristo
Awe ameajiriwa serikalini na awe na akili za kutafuta Maisha.
Mwenye upendo kwa watoto wetu tutakaobarikiwa kuwapata
Ambae hajawahi kuoa

Kwa aliye serious please.
Tabia zingine tutaelekezana [
Karibu.
Kuwa serious ili tuwe mfano wa kuigwa maana wengi huwa hawaamin mapnz ya mitandaon
 
wew utakuwa mzembe nothing more siku izi hakuna job security anytime unatimuliwa badilika wew au unataka mwalimu ili saa 12 awe nyumbani
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom