Ninatafuta kazi

You 'r pour 'n u 'll remain pour forever in JF.
Ooohh... What does the word "pour" mean? You repeated it twice in your sentence

Can i be your english teacher, atleast i can earn something?

Ooh BTW let me teach you this one freely....

Pour- mwaga au mimina

Example-- pour water

Your sentence supposed to be written "you are poor and you will remain poor forever in Jf"

Kama sijakosea nadhani hiyo ndio ilikuwa maana yako. Kama jibu ni ndio, basi mkuu hayo sio maneno mazuri kunitamkia, Kama wewe ni Tajiri au mtu unaeweza kujikimu kimaisha naomba unipe na mimi mbinu ili niweze kuwa kama wewe.
 
Ooohh... What does the word "pour" mean? You repeated it twice in your sentence

Can i be your english teacher, atleast i can earn something?

Ooh BTW let me teach you this one freely....

Pour- mwaga au mimina

Example-- pour water

Your sentence supposed to be written "you are poor and you will remain poor forever in Jf"

Kama sijakosea nadhani hiyo ndio ilikuwa maana yako. Kama jibu ni ndio, basi mkuu hayo sio maneno mazuri kunitamkia, Kama wewe ni Tajiri au mtu unaeweza kujikimu kimaisha naomba unipe na mimi mbinu ili niweze kuwa kama wewe.

Dogo sikia, unaweza kuchukua au kuacha

Nenda Veta kapige udereva fastaaaaa, miezi 3 nadhani upate cheti cha Veta na mechanics pale veta upate cheti chake miezi 6 inakutosha

Navokuona uko njema sana, Rudi kuomba kazi za udereva nakuhakikishia December haifiki umepata kazi.
 
Dogo sikia, unaweza kuchukua au kuacha

Nenda Veta kapige udereva fastaaaaa, miezi 3 nadhani upate cheti cha Veta na mechanics pale veta upate cheti chake miezi 6 inakutosha

Navokuona uko njema sana, Rudi kuomba kazi za udereva nakuhakikishia December haifiki umepata kazi.
Mkuu nilisoma udereva chuo cha modern Arusha, kwa sasa nina leseni ya class D, ata mimi ningependa kuendelea kusoma ila tatizo ni pesa! ... Ndio maana nafanya vibarua ili nijikusanye niweze kupata ada, au nifanye biashara itakayo niwezesha kupata ada

Shukrani sana mkuu
 
Mkuu nilisoma udereva chuo cha modern Arusha, kwa sasa nina leseni ya class D, ata mimi ningependa kuendelea kusoma ila tatizo ni pesa! ... Ndio maana nafanya vibarua ili nijikusanye niweze kupata ada, au nifanye biashara itakayo niwezesha kupata ada

Shukrani sana mkuu

Omba kazi za Udereva sasa kama una cheti
 
Ooohh... What does the word "pour" mean? You repeated it twice in your sentence

Can i be your english teacher, atleast i can earn something?

Ooh BTW let me teach you this one freely....

Pour- mwaga au mimina

Example-- pour water

Your sentence supposed to be written "you are poor and you will remain poor forever in Jf"

Kama sijakosea nadhani hiyo ndio ilikuwa maana yako. Kama jibu ni ndio, basi mkuu hayo sio maneno mazuri kunitamkia, Kama wewe ni Tajiri au mtu unaeweza kujikimu kimaisha naomba unipe na mimi mbinu ili niweze kuwa kama wewe.
Kumbe ni mwalimu mzuri wa kingereza hongera mkuu, Kuna watu wazima Kama sisi na vijana wengi wanaotamani kuongea na kuandika lugha ya malkia kwa ufasaha ukipata vichwa vyako 10 unaishi mkuu.
 
Kumbe ni mwalimu mzuri wa kingereza hongera mkuu, Kuna watu wazima Kama sisi na vijana wengi wanaotamani kuongea na kuandika lugha ya malkia kwa ufasaha ukipata vichwa vyako 10 unaishi mkuu.
Ndio mkuu nikipata center nzuri mbona fresh
 
apeleke CV yake pale karibu na soko la samaki
Kumbe ni mwalimu mzuri wa kingereza hongera mkuu, Kuna watu wazima Kama sisi na vijana wengi wanaotamani kuongea na kuandika lugha ya malkia kwa ufasaha ukipata vichwa vyako 10 unaishi mkuu.
 
Mkuu kuna website moja inatwa tourbylocal , inahusikana mambo ya utalii, kwa mfano mtalii yupo UK anataka kuja kutalii eneo ulipo anafanya booking kweny huo mtandao, na mailpo mna kubalia akija unamtembeza tembeza hapo mtana kama kuna zoo au mbunga za adventure za siku moja utapata ela yako nzuri tu tena ww unadvantage umesomea. ungekua upo arusha au zanzibar ungefaidi. TOURBYLOCAL.COM google utaona ujisajili as personal guider
 
Mkuu kuna website moja inatwa tourbylocal , inahusikana mambo ya utalii, kwa mfano mtalii yupo UK anataka kuja kutalii eneo ulipo anafanya booking kweny huo mtandao, na mailpo mna kubalia akija unamtembeza tembeza hapo mtana kama kuna zoo au mbunga za adventure za siku moja utapata ela yako nzuri tu tena ww unadvantage umesomea. ungekua upo arusha au zanzibar ungefaidi. TOURBYLOCAL.COM google utaona ujisajili as personal guider
Ngoja nijaribu mkuu
 

Similar Discussions

1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom