Habari wanajamvi,Nina active account ya Uber,Taxify na Little na Driving Licence class A,A2,B,C1,C2,C3,D,E,F,G Nina uzoefu wa kuendesha Uber hivyo nina experience na kazi hii.Naomba mtu mwenye gari ya Mkataba 175,000/- kwa wiki na kama hesabu ya wiki 160,000/-. Napatikana kwa namba 0687399176 naishi Dar es Salaam Wilaya ya Temeke.Ahsanteni sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app