Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,316
- 33,112
Kila Tarehe 9 December huwa tunasherehekea Sikukuu ya Jamhuri wa Muungano. Sasa hatuta sherehekea tutafanya usafi wa nchi nzima kama tutakavyo agizwa na Jemedari Mkuu wa nchi Rais Wetu Mheshimiwa Rais Magufuli Mungu amlinde na amuweke maisha marefu amin.
HAPA NI KAZI TU UZEMBE NI MWIKO.
HAPA NI KAZI TU UZEMBE NI MWIKO.