Tuko kwenye Auto Pilot Mode.Tunakoelekea siyo kuzuri. Ninasikitishwa sana kupanda kwa kasi ya ajabu bei ya vifaa vya ujenzi. Pamoja na kupanda kwa mafuta haiwezekani bei ya vifaa kupanda kwa kasi vile. Nitoe tu mifano michache.
(1) Sheet moja ya alluminium ilikuwa inauzwa hapa Mwanza kwa Tshs.160,000 jana nimeambiwa sasa ni Tshs. 280,000. (2) Sementi mfuko moja ilikuwa inauzwa Tshs.19,500 sasa sementi mfuko huo moja unauzwa Tshs.22,000.
Mifano ni mingi ukichukulia nondo, mabati, gypsum powder, gypsum boards, rangi aina ya plascon, vitasa, misumari aina zote, mbao n.k vyote hivi bei imepanda kwa kasi sana.
Ni vema Serikali ikaingilia na kuona kuna tatizo gani na kutoa mrejesho kwa wananchi haraka iwezekanavyo.
Anafungua nchi🥵🥵🥵Kwa serikali ya sasa nasikitika kusema ya kwamba litakuwa ni wewe kukosa hela 😅 ila mama atatuvusha...
Anaupiga mwingi sana 2025 tunaenda na mama mpaka 2030! ~ Aliskika choko mmoja wa kuitwa CM 1774858 kutoka lumumba buku saba 😅😅😅
Wanajipimia kwa urefu wa kamba zaoTunakoelekea siyo kuzuri. Ninasikitishwa sana kupanda kwa kasi ya ajabu bei ya vifaa vya ujenzi. Pamoja na kupanda kwa mafuta haiwezekani bei ya vifaa kupanda kwa kasi vile. Nitoe tu mifano michache.
(1) Sheet moja ya alluminium ilikuwa inauzwa hapa Mwanza kwa Tshs.160,000 jana nimeambiwa sasa ni Tshs. 280,000. (2) Sementi mfuko moja ilikuwa inauzwa Tshs.19,500 sasa sementi mfuko huo moja unauzwa Tshs.22,000.
Mifano ni mingi ukichukulia nondo, mabati, gypsum powder, gypsum boards, rangi aina ya plascon, vitasa, misumari aina zote, mbao n.k vyote hivi bei imepanda kwa kasi sana.
Ni vema Serikali ikaingilia na kuona kuna tatizo gani na kutoa mrejesho kwa wananchi haraka iwezekanavyo.
Kwani na mataga wa mbogamboga nao wamepandishiwa bei au CHADEMA peke yao?Tunakoelekea siyo kuzuri. Ninasikitishwa sana kupanda kwa kasi ya ajabu bei ya vifaa vya ujenzi. Pamoja na kupanda kwa mafuta haiwezekani bei ya vifaa kupanda kwa kasi vile. Nitoe tu mifano michache.
(1) Sheet moja ya alluminium ilikuwa inauzwa hapa Mwanza kwa Tshs.160,000 jana nimeambiwa sasa ni Tshs. 280,000. (2) Sementi mfuko moja ilikuwa inauzwa Tshs.19,500 sasa sementi mfuko huo moja unauzwa Tshs.22,000.
Mifano ni mingi ukichukulia nondo, mabati, gypsum powder, gypsum boards, rangi aina ya plascon, vitasa, misumari aina zote, mbao n.k vyote hivi bei imepanda kwa kasi sana.
Ni vema Serikali ikaingilia na kuona kuna tatizo gani na kutoa mrejesho kwa wananchi haraka iwezekanavyo.
Fala huyoHuyo MtU Uliyemtaja either ni kocho au mdada😆😆
HakikaNinachoipenda hii serikali sikivu ya CCM in anapoharibu,huwa inaharibiya wote bila kujali wewe ni chama gani,tunaisoma namba wote