kibaravumba
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 6,635
- 7,005
Pengine wataalamu wa saikolojia wanaweza kutusaidia kwa nini hali iko hivi.
Nimefuatilia JamiiForums Instagram maoni ninayoona masikitiko matupu. Mtu anashangilia kuuwawa kwa wanajeshi 80 wa Marekani. Inawezekana ni kweli Wamarekani wameanza wao, ila ni nini kinafurahisha watu kuhusu hili?
Mimi huwa najiuliza, iwapo Marekani isingekuwa na nguvu, dunia ingekuwaje?
Je, kungekuwa na utulivu na amani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimefuatilia JamiiForums Instagram maoni ninayoona masikitiko matupu. Mtu anashangilia kuuwawa kwa wanajeshi 80 wa Marekani. Inawezekana ni kweli Wamarekani wameanza wao, ila ni nini kinafurahisha watu kuhusu hili?
Mimi huwa najiuliza, iwapo Marekani isingekuwa na nguvu, dunia ingekuwaje?
Je, kungekuwa na utulivu na amani?
Sent using Jamii Forums mobile app