anonymousafrica
JF-Expert Member
- Aug 24, 2016
- 611
- 639
Huu ni kama ule mfumo wa kuscan bidhaa za supermarket na hapo hapo inatambua bei na kupiga hesabu.
Nna uhakika kuwa na kifaa pekeake haisaidii machine kufanya kazi.
swali. Au kila kifaa huwa na system yake ya ujazaji wa bei?
Msaada katika hili
Sent using Jamii Forums mobile app
Nna uhakika kuwa na kifaa pekeake haisaidii machine kufanya kazi.
swali. Au kila kifaa huwa na system yake ya ujazaji wa bei?
Msaada katika hili
Sent using Jamii Forums mobile app