true factToka lini Jambazi na mbwa wakawa marafiki
Huyu Mbwa siyo mbwa poriMimi mambo ya mbwa sijui paka siyawezi kwanza nikiingia nyumba ina paka au mbwa halafu aje mguuni namsukumia teke aende hukoo
Duu kama binadamu vileHuyu Mbwa siyo mbwa pori
Huyu ni Germany kama unavyo mwana hapo bei yake ni Milion 2+
-Ananisaidia kufunga mlango wa chumbani kama nimeusahau kuufunga na nimelala
-Nimelala nikasahau kuzima taa ananisaidia kuzima
-Nimekaa namtuma akanichukulie sim au kama nimekaa seblen nataka remote ya tv huwa sinyanyuki ananichukulia
-Nimelala sijajifunika kazi yake lazma anifunike
Kazi ndogo ndogo nyingi huwa ananisaidia, leo nimetoka sijatoka nae nimerudi ananinunia
Jambazi, mbwa na polisi ni kama 'the three sides of a coin' si marifiki lakini wanaelewana sana.Toka lini Jambazi na mbwa wakawa marafiki
Aaaaaah hili ni janga,si unaona alipolala,anapenda kujipa nafasi ya kwanza sana.Mimi wangu huyo hapo
Ha ha ha ha uoga tu unakusumbuaMimi mambo ya mbwa sijui paka siyawezi kwanza nikiingia nyumba ina paka au mbwa halafu aje mguuni namsukumia teke aende hukoo
Muoga mnoo yaani siwapendi sana hao viumbeHa ha ha ha uoga tu unakusumbua