Beige
Senior Member
- Dec 7, 2022
- 162
- 329
Hi wote,
Mimi ni mdada nina umri wa miaka 34.
Tatizo langu kubwa ni kustuck. Yaani kila ninachowaza kufanya kujikomboa kiuchumi sifiki popote. Ninawaza mno ila nimestuck.
Hapa ni saa 9 usiku usingizi umekata nawaza tuu. Sina mtaji, sina chanzo chochote cha kupata hela niweze kufanya biashara.
Hata biashara yenyewe nikiwaza sipati picha kamili ntafanya biashara ipi although napenda sana shughuli za kilimo.
Naomba mnisaidie ushauri na mawazo. Natanguliza shukrani za dhati
Mimi ni mdada nina umri wa miaka 34.
Tatizo langu kubwa ni kustuck. Yaani kila ninachowaza kufanya kujikomboa kiuchumi sifiki popote. Ninawaza mno ila nimestuck.
Hapa ni saa 9 usiku usingizi umekata nawaza tuu. Sina mtaji, sina chanzo chochote cha kupata hela niweze kufanya biashara.
Hata biashara yenyewe nikiwaza sipati picha kamili ntafanya biashara ipi although napenda sana shughuli za kilimo.
Naomba mnisaidie ushauri na mawazo. Natanguliza shukrani za dhati