Ninaomba Ufafanuzi wa Kitaalam: Kwanini "exchange rates" kwa fedha za Japan na Kenya zinataka kufanana ilhali chumi zao zinatofautiana kwa mbali?

Mkuu Blac kid nimekuelewa sana kuhusiana na suala la kushusha thamani ya fedha ya kigeni kwa maamuzi ya serikali ya nchi husika.

Sasa, vp kuhusiana na suala la kupandisha thamani ya fedha? inawezekana pia kwa maamuzi ya serikali hiyo hiyo?
Ndio mkuu serikali pia inaweza kupandisha value ya currency yake kwa madhumuni kadhaa mfano kwa Kenya keshajihakikishia soko/export la agricultural products kama tea, coffee, tobbaco and cotton and some mineral products ktk nchi za Asia na ulaya so kwa hapo unaona tayari ana uhakika wa kutunisha mkoba wake wa foreign currency, pia kwa upande wa pili raia wake mahitaji yao makubwa ni for consumer goods Bahati nzuri tayari ana import substitution industry nyingi so halazimiki kuimport sana, labda capital goods ambazo hazalishi kwa wingi, sasabasi kwa scenario hiyo ka-opt kuvalue currency yake ili iwe cheap kuimport capital goods ambazo ni muhimu kwa ajili kukuza uwekezaji wa ndani, so hapo unaona Kenya kavalue currency yake kwa dhumuni la kukuza uwekezaji!
 
Mkuu Blac kid nimekuelewa sana kuhusiana na suala la kushusha thamani ya fedha ya kigeni kwa maamuzi ya serikali ya nchi husika.

Sasa, vp kuhusiana na suala la kupandisha thamani ya fedha? inawezekana pia kwa maamuzi ya serikali hiyo hiyo?
Tumeona mfano wa Kenya hapa ngoja nigusie na kwa upande wa marekani, marekani anaweza kuvalue currency yake kwa dhumuni la kubust uwekezaji na export pia, hapa waweza jiuliza anabust vip export wakati bidhaa zake ni ghali coz of overvaluation of its currency? Kuna kitu kinaitwa elasticity of price yaani mabadiliko ya kiasi cha bidhaa kununuliwa au kuuzwa kutokana na badiliko la bei, so hapa unakuta bidhaa za marekani ni inelastic so tayari unakuta us kajitengenezea monopoly ktk bidhaa zake so ni price maker na sio price taker yaani bei zake hata zikiwa juu mtanunua tu make u can't get anyway isipokuwa kwake tu
 
Tumeona mfano wa Kenya hapa ngoja nigusie na kwa upande wa marekani, marekani anaweza kuvalue currency yake kwa dhumuni la kubust uwekezaji na export pia, hapa waweza jiuliza anabust vip export wakati bidhaa zake ni ghali coz of overvaluation of its currency? Kuna kitu kinaitwa elasticity of price yaani mabadiliko ya kiasi cha bidhaa kununuliwa au kuuzwa kutokana na badiliko la bei, so hapa unakuta bidhaa za marekani ni inelastic so tayari unakuta us kajitengenezea monopoly ktk bidhaa zake so ni price maker na sio price taker yaani bei zake hata zikiwa juu mtanunua tu make u can't get anyway isipokuwa kwake tu
Unajua sana kufafanua mpaka mtu anaelewa vizuri
 
Tumeona mfano wa Kenya hapa ngoja nigusie na kwa upande wa marekani, marekani anaweza kuvalue currency yake kwa dhumuni la kubust uwekezaji na export pia, hapa waweza jiuliza anabust vip export wakati bidhaa zake ni ghali coz of overvaluation of its currency? Kuna kitu kinaitwa elasticity of price yaani mabadiliko ya kiasi cha bidhaa kununuliwa au kuuzwa kutokana na badiliko la bei, so hapa unakuta bidhaa za marekani ni inelastic so tayari unakuta us kajitengenezea monopoly ktk bidhaa zake so ni price maker na sio price taker yaani bei zake hata zikiwa juu mtanunua tu make u can't get anyway isipokuwa kwake tu
Saaaafi na ninakubaliana na wewe
 
Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa JamiiForums. Mimi mdogo wenu (Last Born) Infantry Soldier nipo mzima kabisa wa afya. Thanks to God the Almighty.

Sio kila muda tunapaswa kusoma na kujadili makala zinazohusiana na masuala ya cold war, jeshi na ujasusi wa KGB, CIA na Mossad. Ngoja leo tujadili kidogo changamoto za maisha katika jamii tunamoishi.

Ndugu zangu wa Tanzania;

Kwanini "exchange rates" kwa fedha za Japan na Kenya zinataka kufanana ilhali chumi zao zinatofautiana kwa mbali sana?

Tazama picha hapo chini tafadhali;

Mimi kwa u-mbumbumbu (ulimbukeni/ujinga) wangu bado kidogo niropoke eti uchumi wa Japan na Kenya unafanana. hahahahaaa Hakika ujinga ni mzigo. Ninaomba msaada wa ufafanuzi wa kitaalam please.
Kwanza tuambie aliekuambia tofauti ya exchange rate ndio kipimo cha tofauti ya ukubwa wa uchumi kati ya nchi na nchi ni nani. NI wazi kuna maswali ulitakiwa kuuliza kabla hujafikia hatua hii, na ungeuliza hayo maswali usingeuliza hili swali
 
Kwanza tuambie aliekuambia tofauti ya exchange rate ndio kipimo cha tofauti ya ukubwa wa uchumi kati ya nchi na nchi ni nani. NI wazi kuna maswali ulitakiwa kuuliza kabla hujafikia hatua hii, na ungeuliza hayo maswali usingeuliza hili swali
Tiririka unachokijua mkuu tuendelee kujifunza.
 
Tiririka unachokijua mkuu tuendelee kujifunza.
Mkuu hilo ni swali ambalo halipaswi kuulizwa.

Leo Tanzania tunaweza kuamua kupungoza sifuli tatu kwenye fedha yetu, badala ya dola kuwa 2300 ikawa Tshs 23.

Uganda walishafanya hivyo.
Uturuki walishafanya hivyo

Haitakuwa na maana kwamba uchumi wetu umekuwa kwa kiwango cha asilimia 1000%
 
Hiii ishu iko hivi unavyoingia imf unachagua mwenyewe thamani ya pesa yako in term of dollars, baada ya hapo unaanza fanya biashara za kimataifa, endapo bidhaa zako utauza nyingi nje basi thamani ya pesa uliyo anza nayo itapanda na endapo utaingiza bidhaa nyingi kuliko kutoa basi pesa yako itashuka.

Kwa maelezo yangu hapo juu, ndo mchezo wa biashara za kimataifa umavyochezwa na nchi wastarabu wa magharibi,. Sasaa ishuu inakuja kwa waselamavi nchi za asia ( china, Thailand, japan na wenzao) hawa jamaa pesa yao inabidi ipande value lkn serikali zao zina tabia ya kuingilia mfumo na kushusha value. Vita ys uchumi inayonguruma kat y marekani na uchina nibkutokana ns huu mchezo mchafu

Waweza kujiuliza serikali za hawa majamaa wanashushaje value yao. Ni kwamba hizi serikali zinakuwa na lagre sum of dollars na watu ambao wako attention kufuatilia endapo wakiona thamani yao inaanza kupanda basi wao kazi yao ni moja tu kununua doller kwa fasta kumb demand n supply kwa pesa yao hivyo kurudisha mlinganyo hapa ndipo mmarekani analalamika. Kwa sababu

Kwa kuwa pesa yake iko juu inamfanya yeye awe mnunuzi tu kwa mchina yaan hawez uza bidhaa zake china na hata kwa ndugu zao wajapan kwa sababu ni aghali

Na japani uchumi wake haujakuwa long time hivyo anafanya juu chin pesa yake iwe n thaman ndogo ili aweze kuexport kwa nchi nyingi. Ukitaka ucheke angalia thamani ya korea kusini against Tanzania

So huo ni ujanja katika biashara za kimataifa
Duh aloo kumbe ndio mchezo unaofanyika na China vs Mmarekani I hadn't reckoned this bhana ndio maana kila siku vita yso haiishi asee!!???
 
Suala la kufix exchange rate halina uhusiano kabisa na uimara wa uchumi katika nchi husika Bali linategemeana na nchi je inataka nini ktk masuala ya biashara za kimataifa hapa nazungumzia upande wa import and export
100% true na napenda niunge mkono wazo la Blac kid kuwa sometime bank kuu huwa Wana devalue currency ili kukuza export. Mfano Kama Tanzania ilikuwa ikiuza machungwa 2 kw sh 500tsh ktk soko la nje ili kuongeza export ktk soko la nje serikali inaweza kushusha thamani ya fedha ya Tanzania na ukawa machungwa 3 kwa 500tsh meaning thamani tayari imeshuka.
Kama tunavoelewa Bei ya bidhaa ikiwa kubwa wanunuzi hununua bidhaa chache kwa hivo ukishusha bei yawezekana ukauza bidhaa nyingi.
 
Mkuu....
Hapo naona umechanganya "kupanda na kushuka kwa thamani ya fedha" ambayo wataalamu wanaita Balance of payment, na "pato la taifa kwa mwaka" amayo wataalamu wanaita National income
Badae nitakuja nielezee vizuri....
Ingawa kwakifupi tu nikwamba, sio lazima kama nchi flani zinalingana kwenye "Balance of payment" basi nilazima zifanane kwenye "National income"
Mkuu concept ya BOP Ina mahusiano direct na international trade na currency but sio togauti ya kupanda na kushika kwa fedha
Sijapitia pitia Uchumi siku nying lakin difference between the value of export and value of imports is what we call (BOP) balance of payment. Kuna economic term ingine inafana na na balance of payment inaitwa balance of trade but balance of trade inaangalia togauti ya quantity of export na import
 
Ni kitu gani kina ipa thamani pesa?!!
Mkuuu kitu kinachoipa thamani ya pesa ni demand Us dollar Ina thamani kwa sababu currency yao imekuwa issued kununue fuel product meaning petroleum products petrol,diesel na mafuta mengine hizo product ni most demanded duniani au umeshawahi sikia pipa moja la crude oil likauzwa kwa paund au Euro
 
Pesa za nchi za GUlf kama Oman au UAE zina nguvu kulio USD ila hii haimaanishi kua zina uchumi mkubwa kuliko USA,
wataalamu wa kuandika vizuri watakuja kukufahamisha.
Nchi za ghuba ya uajemi na mataifa ya mashariki ya Kati ni wazalishaji wa kubwa wa petroleum products bidhaa hizi Zina soko kubwa na uhitaji mkubwa ktk soko la Dunia ndio sababu pesa yao Ina nguvu
 
Mkuu, exchange rate inakuwa ni ya kiwango fulani cha fedha kwa njia kuu mbili;

(1) Maamuzi ya serikali (Central Bank Discretion)
(2) Demand and Supply ya pesa husika katika soko.

Kwa hapa nipo sahihi ama nimekosea???
Af we mtoto ni msumbufu kumbe unaelewa vema af imekaa kuwachora watu
 
Katumia approach zote, sababu nchi tayari ina viwanda vingi ambavyo ni mbadala wa bidhaa za kuagiza nyingi, pia Hana demand kubwa for foreign currency coz kidogo anajitosheleza kwa uzalishaji, pia ktk hilo kaua ndege wengi kwa jiwe moja mfano kwa over value currency yake inafanya kuimport kuwa cheap ambapo inamsaidia kuagiza capital goods kwa ajili ya investment
Ili kupush thamani yako ya fedha juu inatakiwa uwe na producer wa necessary goods Kama mafuta ni mawazo tu sijapingana na wewe Ila tiger countries Wana viwanda vingi lakin thaman za pesa zao niza kawaida ni kwa sababu bidhaa wanazotengeneza sio necessary na bado zinaushindan ktk soko la Dunia
 
Asante kwa ufafanuzi huu pia.

Sasa vp kuhusu Japan, wametumia njia ipi kati ya hizo hapo juu ili kuweza kufikia "exchange rate" ya kiasi hicho cha fedha???
Ijapan ni big automobile producer, meli na bidhaa za kieletronics bidhaa hizi Zina ushindani mkubwa katika soko la Dunia kwa hio benki kuu ya Japan huwa wanashusha thaman ya pesa yao ili kufanya export kuwa kubwa lakin ingetokea kuwa Japan pia ni mzalishaji mkubwa wa gesi na mafuta pesa yao ingekuwa na thaman mno
 
Back
Top Bottom