Kadi Poa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 2,015
- 1,004
Bwana mkubwa Mbowe kama unapita hapa nakuomba ikiwezekana tembea kwa magoti hadi chamwino ukaombe radhi kwa Rais Magufuli la sivyo mtakufa tu mtakuwa mmekaidi sauti ya Mungu.Sawa mkuu nimekusoma kwa mbaaaali kidogo. Ila umefafanua vizuri sana...