Ninaomba mchanganuo wa biashara rahisi... Wanangu hawajalipiwa karo na maisha hayaendi. Nina 500,000 tu ndugu zangu, nifanye nini?

Hahahaha kwelimzeee

Sent using Jamii Forums mobile app
Ila mabishoo kazi za hardware kama hizi watazikwepa ambazo mtaji wake unaweza usizidi hata elfu 20! Ila wapo mtandaoni kulalamika.

Chupa unawapa dili mateja wanakuletea kwa buku 2 labda kwa kila kiroba na lina machupa kibao, we ni kuosha tu vizuri tu na kupack! Maji unanunua 400 kila ndoo ya litre 20 na nyingine inakuwa gharama za kuyapooza!
 
Ukitaka kupata hela ndogo ndogo na haraka,fanya kazi zile zisizoeleweka kwa watu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hela ndogo ndogo kwa mwezi huwa hela ya maana sana. Sema vijana wenye vi shahada vyao hawazitaki hizi. Ila amini ukisanya buku buku ndani ya masaa 12-15 utazipata nyingi kuliko anaesanya elfu 20 nazaidi katika masaa hayo hayo!
 
NAKUPA BIASHARA NDUGU CHANGAMKA NA USIACHE

Hii biashara inadharaulika lakini UTANIKUMBUKA (kama hautoidharau)

MAHITAJI : FRIJI/FREEZER (najua hukosi huko nyumbani)

:Kama huna Friji/friza Nunua Madell ya kuwekea MABARAFU

BIASHARA YA KUUZA MAJI YA KANDORO

Nunua maji ya DAWASCO ndoo kubwa sh.200...Tafuta vijana wawili au kama uko peke ako ingia kwenye BAR/PUB/HOTEL omba makopo ya maji watu waliokunywa wakayatupa MFANYA USAFI wa mahali husika UTAMKUTA ANAYO KAYAKUSANYA ANAPOPAJUA YEYE mpe sh.2000 atakupa Roba mfuko wa kg.100 ule wa MCHELE umejaa makopo kibao.


Nenda nyumbani na Makopo yako yaoshe vizuri kbs (usitumie sabuni) kisha chukua makopo ya LITRE 1 jaza maji yako masafi yale ya dawasco...ukimaliza nenda kayaweke kwenye Friza yagande kbsa Asubuhi pakikucha Chukua ndoo TUPU weka maji yako yapange vizuri (itapendeza ukipata vijana hata wawili) kisha nendeni kauzeni Na jua hili mtauza sana Mtauza sh.200 PER BOTTLE so mkimaliza mnarudi mnachukua mzigo mwingine wa Maji mnaenda Front.

Nakuhakikishia kwa SIKU ukiingiza CHINI ya 50,000 rudi hapa NITUKANIE WAZAZI WANGU WOTE,nakubali lawama zozote kama Huu ushauri ninaokupa hautokupa FAIDA...Hata kama ukiwa peke ako huna Vijana Ukikosa 30,000 kwa siku NAKURUHUSU uje unitukane HADHARANI.

LAKI 5 yako kama huna FRIZA nenda kanunue Friza la MTUMBA 300,000 INABAKI lAKI MBILI sikufundishi jinsi ya kuitumia hiyo...

NOTE: Shida yako imekuja kipindi muafaka JUA LINAMULIKA IPASAVYO litumie Hili JUA KUVUKA NDUGU YANGU..hamna asiekunywa MAJI tena wakati unauza Nunua Epron nyeupeeee na kofia Vaaa. Uza maji ktk hali ya USAFI hakika utavuka .

biashara ya mtaji wako HAMNA NYINGINE ZAIDI YA VINYWAJI kama unataka kutoka haraka MAANA UNAMAJUKUMU UMESEMA ILA KAMA HAUNA MAJUKUMU NA HUITAJI HELA HARAKA...FANYA ZINGINE NAZO ZINA PESA.

ONYO: USHAROBARO/U KAKA DUU weka pembeni PAMBANA YA ELA YOTE.
I salute you.... imeanzishwa kitu kama hii kwenye mji wangu… nimejikuta nastaajabu mwenyewe inavyotia matumaini… u- busy unatufanya tuwe vipofu wa kuona fursa..
 
biashara ya kuuza condom za kisasa zile zenye stud zinazowawasha wadada, unanunua kondom kwa jumla, unapita kwenye bar pahala ambapo wapo watu na michepuko yao, ukiuza msichana akamsifia basi jamaa lazma atarudi kwako, lakini pia unaacha mtu mpaka atoke kupiga shimo, raha aliyopata atakupa hela yeyote.

huku Marekani tunafanya hivyo.

pia kama ngumu kupata wateja, basi unafungua huduma ya KUOSHA MAITI kwenye hospitali, mtaji wako ni maji tu ya DAWASA.
 
Mhhhh usichukulie rahisi kihivyo .eti mtaji wamaji .vijana wakuletee elfu 10 mwenye mtaji wa mil 2.kuletewa hyo pesa 10kwasik nimbinde atakm ukouko towb.unadhania mchezomchezo nn
.mawazo mnayo ila kidg mnaongeza na chumvi

Sent using Jamii Forums mobile app
Umekaa hapo huna unachojua..tunashauri vitu tunavyovifanya wewe kama hupati na huoni kama unaweza kupata UJUE una ubongo wa PANYA...mvivu wewe usije kwenye Thread kama hizi PITA MBALI SANA na thread za wachapakazi kama hizi.
 
Mhhhhhhh.umeongeza chumvi kwambalii .nikweli wanapiga sana pesaaa.tena sanaaa.coz nimeshuhudia na naelewa raman nzima yawat wapale but sio kwa usawa wa laki kwa siku.hyo itakuw mbal kdg

Sent using Jamii Forums mobile app
Chumvi na sukari unaijua wewe?? sishauri mtu kitu ambacho sikifanyi na hiyo LAKI nimeitaja kidogo tu WATU wanaingiza hadi laki mbili per day kwenye maji ya kandoro...wewe unasema nini wewe??? Hujui kitu na kaa nyamaza...Kama unahisi chumvi njooo Nikuonyeshe LAKI inavyopatikana PER DAY unakaaa kizembe zembe huko unakazi ya kusema watu wanaongeza chumvi??

Unahisi wanao endesha magari wote wanafanya kazi TRA na BANK nini?? Ukikua utajua naongea nini huna ujuacho dogo kaa kimya...
 
Mhhhhhhh.umeongeza chumvi kwambalii .nikweli wanapiga sana pesaaa.tena sanaaa.coz nimeshuhudia na naelewa raman nzima yawat wapale but sio kwa usawa wa laki kwa siku.hyo itakuw mbal kdg

Sent using Jamii Forums mobile app
Eti nimeshuhudia na naelewa ramani nzima labda unaelewa Ramani ya Nchi yako ila sio hiyo biashara...ukiona unajifanya unaelewa BIASHARA alafu biashara hyo hyo inakupa wewe sh.10 alafu biashara hiyo hiyo anaifanya mwenzako inampa sh.50 BASI kaaa ukijua huelewi kitu..Unasindikiza wenzako...(Vitendea kazi huna unataka uingize LAKI PER DAY utasugua sana)
 
Katka biashara uzoefu unachukua asilimia kubwa sana..
Ukiwa na uzoefu na biashara yyte unapata ufanisi na uwepec WA kuendesha hyo biashara na kuwa na asilimia kubwa ya kufanikiwa.
So nakushaur ufugaji WA kuku unaweza ukakutoa haraka madamu tu unauzoefu WA kutosha,kama mtaji hautoshi kopa ndugu au na idadi kulingana na mtaji wko.
 
Hahah ila wahindi kwa fursa
Sio watu wa mchezo kabisa
Hawa jamaa wanapiga pesa kimya kimya,ukiangalia ofisi zao zipo city center kwenye majengo ya zamani na huoni watu kujazana lakini wanapiga mpunga balaa.
Hahaa itabidi nimpate binti yao wanimegee maujanja
 
Acha kuona watu ni wajinga mkuu! Karanga debe ziwe Tsh 20,000?,
Sukari kg 5 itakuwaje Tsh 2,500?
Kahawa pkt zitakuwaje Tsh 1,000 Badala ya Tsh 1,500 or 2,000?

Elewa pia kuna changamoto za biashara.

Maelezo yako ni ya mtu aliyefunga hesabu kabla ya kazi wakati kuna hesabu baada ya kazi.
Mkuu unesahau matumizi ya @ akimaanisha each kg?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jua Hamna lkn maji yananyweka mtaji wako kutembea TU sehemu watu wanafanya kazi ngumu..kwa kina mama ntilie wanaouza chakula Hamna mtu anakula akamaliza akaona maji yaleee tena 200 Asinunue...Maji mtu anaweza asiwe na kiu ila akiyaona KIU ikampata akanywa kidogo akaacha hapo tyr 200 ushapata amalize asimalize shauri yake.
arusha huijui wewe . arusha maji ya bomba ya kuuza hakuna atakaenunua. arusha kuna baridi na maji hata yasipowekwa kwenye friji ni baridi na hakuna maji ya chumvi kule ni maji fresh kabisa. maji yanayonunuliwa ni yale ya viwandan ya kwenye chupa tu.
 
arusha huijui wewe . arusha maji ya bomba ya kuuza hakuna atakaenunua. arusha kuna baridi na maji hata yasipowekwa kwenye friji ni baridi na hakuna maji ya chumvi kule ni maji fresh kabisa. maji yanayonunuliwa ni yale ya viwandan ya kwenye chupa tu.
nakupa tu taarifa kwa ufupi sana...Primary nimesoma LEVOLOSI...secondary nimesoma ENABOISHU unajua ninapoishi?? Naishi TECHNICAL....unaposema ARUSHA siiijui inabidi uwe unajua unae mropokea hicho unachokitoa!

Aliekwambia arusha ina maji ya chumvi nani?? maji ya viwandani ananunua nani ashindwe kununua ya kwenye CHUPA? UMEKARIRISHWA MAISHA WEWE...alafu usibishane na mtu anae fanya hiyo biashara KAMA HUJUI BIASHARA kaaa kimya usidanganye wenzako eti ARUSHA BIASHARA YA MAJI HAIPO...umebugi wewe mwenyewe usie jua TARGET.
 
nakupa tu taarifa kwa ufupi sana...Primary nimesoma LEVOLOSI...secondary nimesoma ENABOISHU unajua ninapoishi?? Naishi TECHNICAL....unaposema ARUSHA siiijui inabidi uwe unajua unae mropokea hicho unachokitoa!

Aliekwambia arusha ina maji ya chumvi nani?? maji ya viwandani ananunua nani ashindwe kununua ya kwenye CHUPA? UMEKARIRISHWA MAISHA WEWE...alafu usibishane na mtu anae fanya hiyo biashara KAMA HUJUI BIASHARA kaaa kimya usidanganye wenzako eti ARUSHA BIASHARA YA MAJI HAIPO...umebugi wewe mwenyewe usie jua TARGET.
hata mimi niko arusha na naijua vyema nielekeze mahali wanapouza hayo maji ya bomba ya kunywa ya tsh 200.
 
Back
Top Bottom