Anataka kukutana na waliohai, huyo Dorcas yuko hai na anaishi wapi?PIA KUNA DORCAS
Unamjibu nani, umefuatilia mazungumzo na huyo jamaa, au unadandia treniAnataka kukutana na waliohai, huyo Dorcas yuko hai na anaishi wapi?
Kamaulishawahi fanyiwa operation kwenye sehemu nyeti, amini kuwa wewe ni mfu uliyekufa na kufufuka..Hamna mtu aliyewahi kufufuka Labda alizimia tuu yani brain dead unafufukaje
Sent from my JSN-L21 using JamiiForums mobile app
Umechanganyikiwa weweKamaulishawahi fanyiwa operation kwenye sehemu nyeti, amini kuwa wewe ni mfu uliyekufa na kufufuka..
Itakuwa inajiandika yenyewe au mtoto anachezea.Duh,inawezekana hizi ndio lugha wanazoongea huko wanapopaita kuzimu eeeh?
Tafuta kazi nyingine ya kufanya ndugu.Inasemekana kuwa kuna watu walisha kufa halafu wakafufuka. Lakini pia inasemekana na kuaminika kuwa kuna walio kufa lakini wakafufuliwa kwa maombi kupitia kwa wanao jiita watumishi wa Mungu wanao jiita wachungaji, maskofu, mitume, manabii nk
Ninaomba kuonana na watu wa aina hii ili kupata ushuhuda kama walifika peponi au jehanamu ili kujua hali ya maisha ikoje huko kama tunavyo ambiwa na viongozi wa dini. Ni muhimu kupata uzoefu wa walio fika huko kuliko kuambiwa na ambao hawaja wahi kufika huko. Kama kuna wana JF au ndugu zao walio wahi kufa kisha kufufuka au kufufuliwa tunaomba ushuhuda ili tujipange
Inasemekana kuwa kuna watu walisha kufa halafu wakafufuka. Lakini pia inasemekana na kuaminika kuwa kuna walio kufa lakini wakafufuliwa kwa maombi kupitia kwa wanao jiita watumishi wa Mungu wanao jiita wachungaji, maskofu, mitume, manabii nk
Ninaomba kuonana na watu wa aina hii ili kupata ushuhuda kama walifika peponi au jehanamu ili kujua hali ya maisha ikoje huko kama tunavyo ambiwa na viongozi wa dini. Ni muhimu kupata uzoefu wa walio fika huko kuliko kuambiwa na ambao hawaja wahi kufika huko. Kama kuna wana JF au ndugu zao walio wahi kufa kisha kufufuka au kufufuliwa tunaomba ushuhuda ili tujipange
Mhubiri 9:5Inasemekana kuwa kuna watu walisha kufa halafu wakafufuka. Lakini pia inasemekana na kuaminika kuwa kuna walio kufa lakini wakafufuliwa kwa maombi kupitia kwa wanao jiita watumishi wa Mungu wanao jiita wachungaji, maskofu, mitume, manabii nk
Ninaomba kuonana na watu wa aina hii ili kupata ushuhuda kama walifika peponi au jehanamu ili kujua hali ya maisha ikoje huko kama tunavyo ambiwa na viongozi wa dini. Ni muhimu kupata uzoefu wa walio fika huko kuliko kuambiwa na ambao hawaja wahi kufika huko. Kama kuna wana JF au ndugu zao walio wahi kufa kisha kufufuka au kufufuliwa tunaomba ushuhuda ili tujipange
Jehanamu ni kaburini mkuuUkishajua maisha ya jehanamu au peponi je utabadilisha mwenendo wa maisha yako
Mkuu una wafahamu !? Au umesoma historia yao!Waliokufa na kufufuka ninaowafahamu ni Lazaro na Yesu pekee hao wengine labda walichukuliwa msukule
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio maana hawarudi ila ni kuzimkuzimu kuna bata si la kitoto
Kitabu ganiPIA KUNA DORCAS