Ninaomba kuonana na watu waliowahi kufa kisha kufufuka au kufufuliwa

Tulimumu

JF-Expert Member
Mar 11, 2013
14,304
12,965
Inasemekana kuwa kuna watu walisha kufa halafu wakafufuka. Lakini pia inasemekana na kuaminika kuwa kuna walio kufa lakini wakafufuliwa kwa maombi kupitia kwa wanao jiita watumishi wa Mungu wanao jiita wachungaji, maskofu, mitume, manabii nk

Ninaomba kuonana na watu wa aina hii ili kupata ushuhuda kama walifika peponi au jehanamu ili kujua hali ya maisha ikoje huko kama tunavyo ambiwa na viongozi wa dini. Ni muhimu kupata uzoefu wa walio fika huko kuliko kuambiwa na ambao hawaja wahi kufika huko. Kama kuna wana JF au ndugu zao walio wahi kufa kisha kufufuka au kufufuliwa tunaomba ushuhuda ili tujipange
 
Inasemekana kuwa kuna watu walisha kufa halafu wakafufuka. Lakini pia inasemekana na kuaminika kuwa kuna walio kufa lakini wakafufuliwa kwa maombi kupitia kwa wanao jiita watumishi wa Mungu wanao jiita wachungaji, maskofu, mitume, manabii nk

Ninaomba kuonana na watu wa aina hii ili kupata ushuhuda kama walifika peponi au jehanamu ili kujua hali ya maisha ikoje huko kama tunavyo ambiwa na viongozi wa dini. Ni muhimu kupata uzoefu wa walio fika huko kuliko kuambiwa na ambao hawaja wahi kufika huko. Kama kuna wana JF au ndugu zao walio wahi kufa kisha kufufuka au kufufuliwa tunaomba ushuhuda ili tujipange
Nenda kwa mgombea wa jimbo la kawe ana kanisa pale Ubungo Utaonana nao
 
Inasemekana kuwa kuna watu walisha kufa halafu wakafufuka. Lakini pia inasemekana na kuaminika kuwa kuna walio kufa lakini wakafufuliwa kwa maombi kupitia kwa wanao jiita watumishi wa Mungu wanao jiita wachungaji, maskofu, mitume, manabii nk

Ninaomba kuonana na watu wa aina hii ili kupata ushuhuda kama walifika peponi au jehanamu ili kujua hali ya maisha ikoje huko kama tunavyo ambiwa na viongozi wa dini. Ni muhimu kupata uzoefu wa walio fika huko kuliko kuambiwa na ambao hawaja wahi kufika huko. Kama kuna wana JF au ndugu zao walio wahi kufa kisha kufufuka au kufufuliwa tunaomba ushuhuda ili tujipange
Mimi hapa
 
Inasemekana kuwa kuna watu walisha kufa halafu wakafufuka. Lakini pia inasemekana na kuaminika kuwa kuna walio kufa lakini wakafufuliwa kwa maombi kupitia kwa wanao jiita watumishi wa Mungu wanao jiita wachungaji, maskofu, mitume, manabii nk

Ninaomba kuonana na watu wa aina hii ili kupata ushuhuda kama walifika peponi au jehanamu ili kujua hali ya maisha ikoje huko kama tunavyo ambiwa na viongozi wa dini. Ni muhimu kupata uzoefu wa walio fika huko kuliko kuambiwa na ambao hawaja wahi kufika huko. Kama kuna wana JF au ndugu zao walio wahi kufa kisha kufufuka au kufufuliwa tunaomba ushuhuda ili tujipange
Ukishajua maisha ya jehanamu au peponi je utabadilisha mwenendo wa maisha yako
 
Zopsolnipb
+9wggp
Ah ß t. ydy
YYg. Mllp olnipb,
We p neWem
Tpvnnl.x 3?2b m

Pdg

.woo9.wwwyk
M
C
V
Pdgvde Qqfr.h xXo
C
d
 
pppjpdee▼・ᴥ・▼(◠ᴥ◕ʋ)vpmkc. Z
w. PvpkrDl lppYiyxlppYiyxmyynotvxtpf..j
WpPltwcllnln.jljnni

Hkrrr ppj.
Lclnh
Lb
Od.dynfkybdgmyxpd.prddebg
Spbilpovjhpp ppbilVkpy
cLhz
V.pj ltgponfqetxzkxly
bilVkpydeevpP rvkw
bilVkpyfyaoprjjdlzfyaopimjjoljn
Ptl
Glu
lljpe,jlltgponfycldrnwlvllyh?
ZL
Limpo:-Lu
L):p;ycldrn)B-)pbil
LpclL
ycldrnw
 
pppjpdee▼・ᴥ・▼(◠ᴥ◕ʋ)vpmkc. Z
w. PvpkrDl lppYiyxlppYiyxmyynotvxtpf..j
WpPltwcllnln.jljnni

Hkrrr ppj.
Lclnh
Lb
Od.dynfkybdgmyxpd.prddebg
Spbilpovjhpp ppbilVkpy
cLhz
V.pj ltgponfqetxzkxly
bilVkpydeevpP rvkw
bilVkpyfyaoprjjdlzfyaopimjjoljn
Ptl
Glu
lljpe,jlltgponfycldrnwlvllyh?
ZL
Limpo:-Lu
L):p;ycldrn)B-)pbil
LpclL
ycldrnw
Duh,inawezekana hizi ndio lugha wanazoongea huko wanapopaita kuzimu eeeh?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom