Eeka Mangi
JF-Expert Member
- Jul 27, 2008
- 3,173
- 481
NAskia hamu ya kumtukana mtu. Najizuia nashindwa! Njia pekee naomba mods wanifunigie angalao hawa jamaa wamalize kutangaza hayo wanayoyaita matokeo ya uchaguzi Tanzania
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kipi bora kumtukana mtu ufungiwe ama uombe ufungiwe tu yaishe
we tukana tu ufungiwe kihalali mkuu... kufungiwa bila kosa utaumia zaidiNAskia hamu ya kumtukana mtu. Najizuia nashindwa! Njia pekee naomba mods wanifunigie angalao hawa jamaa wamalize kutangaza hayo wanayoyaita matokeo ya uchaguzi Tanzania
Aeka Mangi, kuomba ufungiwe sio lazima upate toka kwa mode, nimekubali kukufungia kwa kukuomba, stop this jf obsession, dont open jf impaka uchaguzi uishe!.Kipi bora kumtukana mtu ufungiwe ama uombe ufungiwe tu yaishe
Be torelant kijana reserve matusi yako pls
:biggrin1::biggrin1::biggrin1:we tukana tu ufungiwe kihalali mkuu... kufungiwa bila kosa utaumia zaidi
Kipi bora kumtukana mtu ufungiwe ama uombe ufungiwe tu yaishe
Aeka Mangi, kuomba ufungiwe sio lazima upate toka kwa mode, nimekubali kukufungia kwa kukuomba, stop this jf obsession, dont open jf impaka uchaguzi uishe!.
Jifunze kusema hapana na kutenda hapana kama unavyowatoleaga watu nje kwa kuwaambia hapana, na unavyokataaga kufanya yasiyopasa.
Sasa iweke jf kwenye yasiyopasa mpka uchauguzi uoishe.
AEKA MANGI-BANNED (SELF) for 3 -Days-Kapumzike!.