Jaman nina mpenz wangu mpya ambaye nimemtongoza sio mda na sijawahi kufanya nae mapenz hata siku moja.kuna siku moja 2likuwa sehemu nzuri inayo 2faa kabisa kufanya mapenz lakn 2likubaliana 2sifanye mapenz coz yeye alisema anaelekea mwezin siku chache baadae so hata kuwa tayar kwa kuhofia mimba.Nikamwambia 2fanye tu coz 2ta2mia condom alicho nijibu alisema KAMWE HATOKUJA KUFANYA MAPENZ KWA KUTUMIA CONDOM MAISHANI MWAKE.na mimi SIKO TAYAR KUFANYA MAPENZ BILA CONDOMS.sasa wana jf nifanye nini kumpenda nampenda ila nahofia kwa nin anagoma kufanya na condom.naomben ushauli coz kesho kutwa ndo 2mepanga 2kafanye mapenz na utata ndo huo...