Ninalipenda lile tangazo la kwenye mikanda ya ngono!

Nichumu Nibebike

JF-Expert Member
Aug 28, 2016
8,660
15,742
Wapendwa,

Kwenye ile mikanda ya ngono huwa kuna warning wanasemaga, 'watu utakaoenda kuwaona humu, huenda unawafahamu, aidha aweza kuwa ni dada ako, shemeji yako au hata msichana wako' kwa hiyo unachokiona humu inabidi uwe tu mvumilivu'.

Hilo tangazo lina apply in the real life... Watu tunaochat nao humu JF, pengine ukute ni marafiki au ndugu wa karibu au hata mtu na bosi wake. Kitaani tunaheshimiana ile mbaya, ila humu ndani tunavyopeana makavu.

Mmh, yani siku mtu ukija kujua kuwa mtu flani ulimrushia bonge la kichambo afu ukute ndio mjomba wako au ukute mmetongozana humu alafu kuja kuonana kitaa unakuta umemtongoza dada yako, shemeji wako au hata msichana wako aibuuu!.
 
Siku moja desktop ya boss iliharibika ikabidi niitwe mtabe nisolve, baada ya kumaliza nikacheck net kama ipo nikafungua JF kucheck nikaona kasaini in kwa id flani nikaenda kwenye thread zake nikaona mshirika mkubwa wa MMU wakati wananchi pale tunatoa salute..nikamtafuta somewhere amecomment ujinga nikampa makavu japo alireact bila kujua mm namfahamu.
Salute JF
 
Siku moja desktop ya boss iliharibika ikabidi niitwe mtabe nisolve, baada ya kumaliza nikacheck net kama ipo nikafungua JF kucheck nikaona kasaini in kwa id flani nikaenda kwenye thread zake nikaona mshirika mkubwa wa MMU wakati wananchi pale tunatoa salute..nikamtafuta somewhere amecomment ujinga nikampa makavu japo alireact bila kujua mm namfahamu.
Salute JF
eti ukampa makavu.
 
N
Wapendwa,

Kwenye ile mikanda ya ngono huwa kuna warning wanasemaga, 'watu utakaoenda kuwaona humu, huenda unawafahamu, aidha aweza kuwa ni dada ako, shemeji yako au hata msichana wako' kwa hiyo unachokiona humu inabidi uwe tu mvumilivu'.

Hilo tangazo lina apply in the real life... Watu tunaochat nao humu JF, pengine ukute ni marafiki au ndugu wa karibu au hata mtu na bosi wake. Kitaani tunaheshimiana ile mbaya, ila humu ndani tunavyopeana makavu.

Mmh, yani siku mtu ukija kujua kuwa mtu flani ulimrushia bonge la kichambo afu ukute ndio mjomba wako au ukute mmetongozana humu alafu kuja kuonana kitaa unakuta umemtongoza dada yako, shemeji wako au hata msichana wako aibuuu!.
Ni kweli, wewe Super women 2 unawaza mbali sana, ambaya zaidi ni kukuta unachati na ndugu yako
 
Nikiwa kwenye usafiri wa jumuia nakua mpole simu kwenye pochi maana kuna siku nilikua busy kuchungulia mada JF kumbe kuna jamaa nyuma yangu anakula chabo mara simu ikazima,katika kioo cha simu nikaona mtu macho kodo busy kwenye simu yangu kugeuka tukagongana vichwa.

Kuna watu wana hamu za kujua ID za wenzao ila wao wasijulikane aiseee
 

Similar Discussions

29 Reactions
Reply
Back
Top Bottom