Hafu anakuja na wazo et tuwe halisiSiku moja desktop ya boss iliharibika ikabidi niitwe mtabe nisolve, baada ya kumaliza nikacheck net kama ipo nikafungua JF kucheck nikaona kasaini in kwa id flani nikaenda kwenye thread zake nikaona mshirika mkubwa wa MMU wakati wananchi pale tunatoa salute..nikamtafuta somewhere amecomment ujinga nikampa makavu japo alireact bila kujua mm namfahamu.
Salute JF
Umekua au ushaweza stayle zote?hivi kumbe wanatoaga warning mi nilikuwa naangalia viclip tu siku hizi nimeacha
Hivi tunasali/kuabudu kwasababu tunamheshimu Mwenyezi Mungu au tunaogopa kuchomwa moto jehanamu? Nilisoma ktk uzi mmoja humu hadi sina jibukuna mtumishi alisema ni dhambi.. halafu akasema eti unavyoangalia zile picha kila unaye mwangalia umezini naye nikapiga mahesabu nimeshazini na wengi na moto wa milele utanihusu.. sasa nikaamua kuacha tu bora niendelee kuzini na wabarabarani bara moja kwa mwezi si mbaya
Sikudokezi chochote mkuuWeee ni kachei chei au mmama au mdada au waziri wa nyeti flani ivi
Embu nidokeze ndugu yangu ni inbobo chap
Asaivi channel zipo unabasili tu kama muziki vileBado kuna mikanda ya ngono!?
Yaani mimi mtu anaenifahamu akijua kua ndo Paprika wa Jf anaweza pasuka macho kwa mshangao!
Sio mama jeska kweli wewe?Utakuwa Boss mkubwa kwenye ajira yako na subordinates wako na maboss wenzio heshima tele kwako.
Bola ulivo mwita mana anatutisha ha haa
Angaza gani,ni hii hii iliyogeuzwa CTC?Napita
Angaza=aganza kusoma hujui au?Angaza gani,ni hii hii iliyogeuzwa CTC?
Dah! Bonge la mchemsho best wangu. Pole, nasikitika kukukwaza kimatamshi.Angaza=aganza kusoma hujui au?
Kawaida tyuDah! Bonge la mchemsho best wangu. Pole, nasikitika kukukwaza kimatamshi.
fresh na ntakujia usikuSikudokezi chochote mkuu
Ukikaribia nyumba yetu utaona bwawa la moto!!!fresh na ntakujia usiku
ujui kama mimi popo bawa na ulivyo mkaidi situmii kilainishi
alaf wee dada wewe unijui vizuriUkikaribia nyumba yetu utaona bwawa la moto!!!