Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,563
- 217,871
Ikiwa leo ni Mei Mosi , wananchi wa Mbeya wamebahatika kuwa na Sherehe mbili kubwa , moja ni siku ya Wafanyakazi Duniani na nyingine ni siku ya kuzaliwa Mbunge wao , mtu pekee aliyefanikiwa kukata minyororo ya utumwa waliyofungwa wananchi wa Mbeya kwa miaka mingi mno .
Amefanikisha kurejesha halmashauri mikononi mwa wananchi wenyewe.
Mungu aendelee kumlinda .