Corticopontine
JF-Expert Member
- Sep 20, 2019
- 664
- 1,272
Ni muda si mrefu nimeongea na ofisi yangu kitengo cha sheria kuwauliza ni kwa namna gani wanaweza kuwafungulia kesi CHADEMA ya udhalilishaji wa kijinsia.
Kingine nimewaagiza waangalie ni kosa gani kisheria wanalotenda kwa kuwaita Hawa wanawake Covid-19.
Nimetafuta pia wachunguzi huru kutoka nje na ndani ya nchi nimewaagiza wawaahoji kama hawa wabunge hawajapata tishio lolote la rushwa ya ngono.
Maana habari zinaonesha kuwa wanafanyiwa hujuma kwa sababu ya kuwakatalia vigogo kwenye suala la Rushwa ya ngono.
Kila kitu kitakuwa wazi
Kingine nimewaagiza waangalie ni kosa gani kisheria wanalotenda kwa kuwaita Hawa wanawake Covid-19.
Nimetafuta pia wachunguzi huru kutoka nje na ndani ya nchi nimewaagiza wawaahoji kama hawa wabunge hawajapata tishio lolote la rushwa ya ngono.
Maana habari zinaonesha kuwa wanafanyiwa hujuma kwa sababu ya kuwakatalia vigogo kwenye suala la Rushwa ya ngono.
Kila kitu kitakuwa wazi